Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
History
Music
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts221/v4/85/10/93/85109383-7456-3040-84bb-9d4121debd3f/mza_10296679038271481920.jpg/600x600bb.jpg
Redio Rumuli Podcast
Rumuli Podcast
43 episodes
1 day ago
Katika sehemu hii utapata vipindi na makala mbali mbali toka redio Rumuli. Unaweza kuchagua toka hazina yetu ya makala zenye upako na msaada kwa maisha yako ya kila siku. Mahubiri, mafunzo ya watoto, vipindi vya vijana, wababa na wamama, michezo, uchumi na biashara, kilimo na ufugaji, maadili, habari na burudani. Wasiliana pamoja nasi kupitia kwa barua pepe rumuli@nehemiatz.org au whatsapp, telegram no +255627909686.
Show more...
Christianity
Religion & Spirituality
RSS
All content for Redio Rumuli Podcast is the property of Rumuli Podcast and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Katika sehemu hii utapata vipindi na makala mbali mbali toka redio Rumuli. Unaweza kuchagua toka hazina yetu ya makala zenye upako na msaada kwa maisha yako ya kila siku. Mahubiri, mafunzo ya watoto, vipindi vya vijana, wababa na wamama, michezo, uchumi na biashara, kilimo na ufugaji, maadili, habari na burudani. Wasiliana pamoja nasi kupitia kwa barua pepe rumuli@nehemiatz.org au whatsapp, telegram no +255627909686.
Show more...
Christianity
Religion & Spirituality
Episodes (20/43)
Redio Rumuli Podcast
Pr. Joseph Muttassa Mahubiri 2

Neno la Mungu ni nguzo kwa wote walioamini

Show more...
1 year ago
1 hour 31 minutes 44 seconds

Redio Rumuli Podcast
Pr. Hawa Ayoub Mahubiri

Neno la Mungu ni nguzo kwa wote walioamini

Show more...
1 year ago
1 hour 1 minute

Redio Rumuli Podcast
Pr. Frideswida Jimmy Mahubiri

Neno la Mungu ni nguzo kwa wote walioamini

Show more...
1 year ago
28 minutes 52 seconds

Redio Rumuli Podcast
Pr. Joseph Muttassa Mahubiri

Neno la Mungu ni nguzo kwa wote walioamini

Show more...
1 year ago
1 hour 12 minutes 53 seconds

Redio Rumuli Podcast
Pr. Jane Katalaiya Mahubiri

Neno la Mungu ni nguzo kwa wote walioamini

Show more...
1 year ago
29 minutes 12 seconds

Redio Rumuli Podcast
Judia Mbeikya Mahubiri

Neno la Mungu ni nguvu kwa wote walioamini

Show more...
1 year ago
20 minutes 40 seconds

Redio Rumuli Podcast
Pr. Peter Barnaba Mahubiri

Neno la Mungu ni nguvu kwa wate walioamini

Show more...
1 year ago
1 hour 10 minutes 21 seconds

Redio Rumuli Podcast
Bishop Johaness Kasimbazi Mahubiri

Neno la Mungu ndiyo Nguvu ya Wote walioamini

Show more...
1 year ago
1 hour 6 minutes 13 seconds

Redio Rumuli Podcast
Ujumbe Wa Neno La Mungu

Neno La Mungu ni Nguvu ya Wote Walioamini

Show more...
1 year ago
20 minutes 40 seconds

Redio Rumuli Podcast
Neno La Mungu

Neno la Mungu ni taa ya miguu yetu

Show more...
1 year ago
1 hour 31 minutes 44 seconds

Redio Rumuli Podcast
Tenzi No 26

Tenzi za Rohoni hutusaidia kumuimbia Mungu wetu kwa namna ambayo mioyo yetu inaungana naye katika ibada

Show more...
1 year ago
32 minutes 56 seconds

Redio Rumuli Podcast
Ulimwengu Wa Miujiza 2

Karibu sana katika Kipindi cha Ulimwengu wa Miujiza, kipindi ambacho kinakuletea mambo mengi yanayohusiana na utendaji wa nguvu ya Mungu katika maisha ya mwanadamu. Hii ni nguvu ya kiMungu ambayo inafanya kazi ya ajabu kwenye maisha ya mwanadamu na kuleta badiliko la ajabu juu ya wote wanaoliamini jina la Yesu Kristo. Ni imani yangu kwamba hadi unamaliza kusikiliza kipindi hiki, utapata neema ya kuelewa na kuendelea kuiamini nguvu hii inayoutengeneza ulimwengu wa miujiza ambayo akili na uwezo wa mwanadamu hauwezi kufanya.

Show more...
2 years ago
30 minutes 1 second

Redio Rumuli Podcast
Ulimwengu Wa Miujiza

Karibu sana katika Kipindi cha Ulimwengu wa Miujiza, kipindi ambacho kinakuletea mambo mengi yanayohusiana na utendaji wa nguvu ya Mungu katika maisha ya mwanadamu. Hii ni nguvu ya kiMungu ambayo inafanya kazi ya ajabu kwenye maisha ya mwanadamu na kuleta badiliko la ajabu juu ya wote wanaoliamini jina la Yesu Kristo. Ni imani yangu kwamba hadi unamaliza kusikiliza kipindi hiki, utapata neema ya kuelewa na kuendelea kuiamini nguvu hii inayoutengeneza ulimwengu wa miujiza ambayo akili na uwezo wa mwanadamu hauwezi kufanya.

Show more...
2 years ago
29 minutes 57 seconds

Redio Rumuli Podcast
Ulimwengu Wa Mkristo Tetes Za Vita

Ulimwengu wa Mkristo ni kipindi ambacho kinakuletea mkusanyiko wa mambo tofauti hususani habari na matukio yanayojiri katika ulimwengu huu na kuligusa moja kwa moja Kanisa la Yesu Kristo. Katika kufuatilia kipindi hiki, utapata kuyafahamu mambo mengi yanayojiri na pengine kukupa neema ya kujiimarisha kiroho wakati Kanisa likipita katika vipindi tofauti na vigumu, hususani kipindi hiki cha nyakati za siku za mwisho.

Show more...
2 years ago
6 minutes 21 seconds

Redio Rumuli Podcast
Ulimwengu Wa Mkristo Majanga

Ulimwengu wa Mkristo ni kipindi ambacho kinakuletea mkusanyiko wa mambo tofauti hususani habari na matukio yanayojiri katika ulimwengu huu na kuligusa moja kwa moja Kanisa la Yesu Kristo. Katika kufuatilia kipindi hiki, utapata kuyafahamu mambo mengi yanayojiri na pengine kukupa neema ya kujiimarisha kiroho wakati Kanisa likipita katika vipindi tofauti na vigumu, hususani kipindi hiki cha nyakati za siku za mwisho.

Show more...
2 years ago
31 minutes 43 seconds

Redio Rumuli Podcast
Msaada Utokao Mbinguni Baraka Za Kalvari No 2

Msaada Utokao Mbinguni ni kipindi ambacho kinamsaidia msikilizaji kuutazama msaada wa Mungu ambao huyafanya yale yaliyoshindikana na kumpa upenyo wa namna ya kiMungu katika kuuendea ushindi aliokusudiwa na Mungu mwenyewe. Katika Kipindi hiki, utapata kusikia na kufahamu Baraka za Mungu zitokanazo na kazi ya msalaba wa Yesu Kristo kwa wanandamu wote, ushindi uliomo pamoja na wokovu uliopatikana Kalvari kwa kifo cha Yesu Kristo.


Show more...
2 years ago
45 minutes 8 seconds

Redio Rumuli Podcast
Msaada Utokao Mbinguni Baraka Za Kalvari No 1

Msaada utokao Mbinguni ni kipindi ambacho kinamsaidia msikilizaji kuutazama msaada wa Mungu ambao huyafanya yale yaliyoshindikana na kumpa upenyo wa namna ya kiMungu katika kuuendea ushindi aliokusudiwa na Mungu mwenyewe. Katika Kipindi hiki, utapata kusikia na kufahamu Baraka za Mungu zitokanazo na kazi ya msalaba wa Yesu Kristo kwa wanandamu wote, ushindi uliomo pamoja na wokovu uliopatikana Kalvari kwa kifo cha Yesu Kristo.

Show more...
2 years ago
1 hour 1 minute 14 seconds

Redio Rumuli Podcast
Msanii Wetu Joanitha

Msanii Wetu ni Kipindi kinachokupa fursa ya kufahamu kwa undani kuhusu huduma ya uimbaji, kutoka kwa watumishi wa Mungu ambao kupitia Ofisi hiyo, wamemtumikia Mungu kwa furaha. Katika kipindi hiki, utausikia ushuhuda wa Joanitha, ambaye baada ya kupona majeraha kichwani yaliyotokana na kupigwa na kitu kizito kichwani na kundi la watu wanaosadikika kuwa ni wezi, na kuamua kumuimbia Mungu kwa kuzinena habari za utukufu wake

Show more...
2 years ago
43 minutes 49 seconds

Redio Rumuli Podcast
Rhema Outreach Ministries Kyabajwa At Redio Rumuli

Washirika wa Kanisa la Rhema Outreach Ministries Kyabajwa, walipata nafasi ya kufika kwenye Studio za Redio Rumuli kwa ajili ya kufanya shughuli mbalimbali za kujitolea, ikiwa ni pamoja na kufanya usafi wa mazingira. Kitendo hiki kiliwabariki zaidi watendakazi wa Kituo hiki, na zaidi ya yote watumishi hao wakapata nafasi ya kueleza kuhusu msukumo wa wao kufanya hivyo. Karibu upate kusikiliza shuhuda zilizomo kwenye rekodi hii kwa baraka zaidi.

Show more...
2 years ago
31 minutes 7 seconds

Redio Rumuli Podcast
Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia Mwanzo H

Uchambuzi Wa Kitabu Cha Biblia ni kipindi kinachokuwezesha kulijua Neno la Mungu kwa undani na kwa kina zaidi ili kumfahamu Mungu na mapenzi yake kupitia maandiko mbalimbali tunayokuwa tukiyapitia katika Biblia nzima. Tunachambua Biblia kitabu kwa kitabu, sura kwa sura na neno kwa neno ili msikilizaji aweze kuelewa mazingira neno lilipozungumziwa na kuelewa taafsiri ya neno husika kwa muktadha uliotumika. Kila andiko tulisomalo katika Biblia tunalitafsiri kwa mujibu wa agano jipya ili tuweze kutembea katika Neno la Mungu kwa wakati tulionao. Msikilizaji anaweza kutumia ufunuo anaoupata kwenye vipindi hivi na kuutumia katika eneo lolote la maisha yake mfano katika kazi zake za kila siku, katika ndoa/familia na katika huduma mtu aliyonayo.

Show more...
2 years ago
28 minutes 38 seconds

Redio Rumuli Podcast
Katika sehemu hii utapata vipindi na makala mbali mbali toka redio Rumuli. Unaweza kuchagua toka hazina yetu ya makala zenye upako na msaada kwa maisha yako ya kila siku. Mahubiri, mafunzo ya watoto, vipindi vya vijana, wababa na wamama, michezo, uchumi na biashara, kilimo na ufugaji, maadili, habari na burudani. Wasiliana pamoja nasi kupitia kwa barua pepe rumuli@nehemiatz.org au whatsapp, telegram no +255627909686.