Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
History
Fiction
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts221/v4/2a/9b/77/2a9b7735-b629-1e51-42c4-b09921ea83f2/mza_13706986137338573068.jpg/600x600bb.jpg
Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Innocent Ngaoh
117 episodes
21 hours ago
Podcast mahususi kujifunza mambo ya maendeleo binafsi (Personal development/Self-improvement), maisha, mahusiano, saikolojia na elimu ya fedha. Ni podcast ya kipekee ambayo utajifunza mambo mengi ambayo yanatokea kwenye maisha yetu ya kila siku, kila kitu kinachozungumzwa hapa kina uhalisia na siyo nadharia ya kusadikika. Kuwa sehemu ya familia hii na uhakika hautakuwa kama ulivyokuwa mwanzo, podcast ambayo itaboresha na kuongeza thamani ya maisha yako mara 10X au zaidi. Hakikisha unafollow ili uwe wa kwanza kupata episode mpya kila wiki.
Show more...
Self-Improvement
Education
RSS
All content for Maisha Ni Kuthubutu Podcast is the property of Innocent Ngaoh and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Podcast mahususi kujifunza mambo ya maendeleo binafsi (Personal development/Self-improvement), maisha, mahusiano, saikolojia na elimu ya fedha. Ni podcast ya kipekee ambayo utajifunza mambo mengi ambayo yanatokea kwenye maisha yetu ya kila siku, kila kitu kinachozungumzwa hapa kina uhalisia na siyo nadharia ya kusadikika. Kuwa sehemu ya familia hii na uhakika hautakuwa kama ulivyokuwa mwanzo, podcast ambayo itaboresha na kuongeza thamani ya maisha yako mara 10X au zaidi. Hakikisha unafollow ili uwe wa kwanza kupata episode mpya kila wiki.
Show more...
Self-Improvement
Education
Episodes (20/117)
Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Je Unataka Kuwekeza Katika Hisa? Pata Elimu Ya Hisa Hapa-Part 01

Je wewe ni mwanahisa na una hisa zozote unamiliki katika soko la DSE?


Kama jibu lako ni hapana.


Basi…


Ndio muda sahihi wa kuanza kuwekeza katika hisa ili ufaidikie na faida kubwa mbili;


1. Ongezeko la mtaji (Capital gain).


2. kupata gawio (Divindend).


Lakini…


Kabla ya kutaka kuwekeza katika hisa hakikisha unakuwa na maarifa sahihi kuhusu hisa ili usije ukapigwa za uso.


Bahati nzuri ni kwamba…


Podcast bora ya kitanzania itakupa mwanga namna ya kujua mambo mengi kuhusu hisa.


Ni wewe kufollow na subscrible ili uwe wa kwanza kusikiliza mfululizo wa episode za elimu ya hisa na mambo mbalimbali…


…ya uwekezaji na maendeleo binafsi.


Huu ni utangulizi kiduchu, madini mengi utapata kwa kubofya link hapa chini kusikiliza madini mazito ya uwekezaji katika hisa.

Show more...
7 months ago
8 minutes 29 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Siri 02 Za Kuanza KUJIUZA Ili Ufanikiwe Kwenye Maisha Yako Ni Kujiuza…!

Jifunze mbinu za Kujiuza kupitia episode ili upige hatua kwenye maisha yako.


Sikiliza mpaka mwisho episode hii.

Show more...
7 months ago
7 minutes 7 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Tumia Kanuni Ya 40/20/10/10/10/10 Kupanga Bajeti Ya Fedha Zako…!

Kanuni ya 40/20/10/10/10 itakusaidia kuanza kupanga bajeti ya fedha zako kwa mafanikio.


Sikiliza episode hii mpaka mwisho kujifunza.

Show more...
8 months ago
10 minutes 46 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Siri 02 Za Kuwa Mwekaji Mzuri Wa Akiba Ya Fedha Zako…!

Upo tayari kujua Siri za kuwa mwekaji mzuri wa akiba za fedha zako? Basi sikiliza episode hii mpaka mwisho

Show more...
9 months ago
6 minutes 51 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Sehemu 06 Za Kuanza Kuwekeza Fedha Zako Kwa Mafanikio…!

Hizi sehemu 06 ambazo unaweza kuanza kuwekeza akiba yako ili ikuzalishie zaidi.

Show more...
9 months ago
15 minutes 22 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Jinsi Ya Kuweka Akiba Kwa Mafanikio Mwaka 2025…!

Je unataka kujua kwa namna gani unaweza kuweka akiba kwa mafanikio mwaka 2025?


Episode hii itakueleza mbinu 04 ambazo ukianza kuzifanyia kazi basi utakuwa mwekaji mzuri wa akiba.


Usikubali mwaka 2025 uishe bila ya kuweka akiba.


Kwa sababu…


Kama wao wanaweza kwanini wewe ushindwe? Jibu kwamba unaweza kama utafanyia kazi maarifa ambayo utajifunza katika episode hii.


Chukua hatua sasa

Show more...
9 months ago
11 minutes 16 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Tumia Kanuni Ya 40/30/20/10 Kupanga Bajeti Ya Fedha Zako...!
Anza kuelekea uhuru wako wa kifedha Kwa Kuanza Kupanga Bajeti Ya Fedha Zako Kwa kutumia Kanuni ya 40/30/20/10.
Show more...
1 year ago
8 minutes 32 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Maneno 04 Ambayo Ukianza Kutumia Leo Yatafanya Ukubalike Zaidi...!
Maneno Yako Yana nafasi kubwa ya kufanya Ukubalike au ukataliwe kwenye eneo lolote. Sikiliza episode hii ujue maneno 04 Ambayo Yatafanya Ukubalike Zaidi.
Show more...
1 year ago
9 minutes 29 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Jinsi Ya Kuweka Akiba Ya Fedha Zako...!
Anza kuweka akiba Leo kama unajali kesho na future Yako. Sikiliza episode hii mpaka MWISHo ujue kila kitu Kuhusu namna ya kuweka akiba
Show more...
1 year ago
12 minutes 17 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Tumia Kanuni Ya 70/20/10 Kulipa MADENI Yako Na Kuweka Akiba Ya Fedha Zako...!
Je Unataka Kulipa MADENI Yako na wakati huohuo unaweka akiba ya fedha zako? Basi sikiliza episode kujua Kanuni ya 70/20/10
Show more...
1 year ago
8 minutes 11 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Tumia Kanuni Ya 50/10/10/10/10/10 Kupanga Bajeti Ya Fedha Zako...1
Kanuni ya 50/10/10/10/10/10 itakusaidia Kuanza Kupanga Bajeti Ya Fedha Kiurahisi. Anza kuitumia Leo.
Show more...
1 year ago
9 minutes 54 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Hivi Unajua Wewe Una Nguvu Ya Sumaku Ndani Yako...?
Inakushangaza kusikia kauli ya kuwa "WEWE NI SUMAKU" sikiliza episode hii ujifunze na uje ukweli wote.
Show more...
1 year ago
5 minutes 7 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Sehemu Tatu (03) Ambazo Hupaswi Kuweka Akiba Yako Ya Malengo Ya Muda Mrefu...!
Kama unajali kesho Yako na kuelekea uhuru wa kifedha basi suala la kuweka akiba ni lazima. Lakini.... Kuna makosa ambayo wengi hufanya Katika uwekaji wa akiba zao na pengine na wewe unafanya. Akiba ya malengo ya muda mrefu haipaswi kuwekwa kwenye; 1. Kibubu, 2. Taasisi za kibenki, 3. Chini ya godoro 4. Mitandao ya simu. Unajiuliza kama sipaswi kuweka huku niweke wapi akiba zangu? Swali zuri, ni hivi... Weka akiba Yako kwenye; 1. Mifuko ya pamoja, 2. Hatifungani za serikali, 3. Hisa, Hata hivyo kuelewa Kwa kina basi bofya link hapa chini sasahivi uanze kujifunza Kama bado hujaanza kuweka akiba hujachelewa, Unaweza Kuanza Leo kujali kesho Yako kwa kuweka akiba
Show more...
1 year ago
7 minutes 43 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Tumia Kanuni Ya 60/10/10/10/10 Kupanga Bajeti Ya Fedha Zako.
Haijalishi wewe ni mpambanaji kiasi gani kama hauna msingi mzuri wa elimu ya fedha. Basi kuna uwezekano mkubwa utapambana sana ila kiuchumi inakuwa vigumu kukua. Kwa sababu... Umekosa nidhamu ya pesa ambayo ni muhimu kuwa nayo kama unataka kufanikiwa katika eneo la fedha. Kwahiyo... Ukianza kupanga bajeti ya fedha zako inakuwa rahisi kurekodi matumizi yako ya siku, wiki, mwezi, miezi n.k. Kwa kujua kwanini pesa zako zinaenda pale na siyo hapa na kwanini hapa na siyo kule. Kwa sababu bajeti inakusaidia kurekodi na kujua mtuririko wa matumizi yako. Swali linakuja, Je, wewe unapanga bajeti ya fedha zako au kikubwa uhai? Basi... Leo na habari njema kwako kwamba kupitia Kanuni ya 60/10/10/10/10 utaweza kuwaga fedha yako Katika makundi matano; 1. Kutumia kwenye matumizi ya lazima (Basic needs) 2. Kutumia kwenye starehe na burudani (Wants), 3. Kuweka akiba na uwekezaji (Saving and investing), 4. Kutoa fungu la kumi, 5. Kuweka fedha ya dharura (Emergency fund). Hivyo basi... Kanuni ya 60/10/10/10/10 kuilewa vizuri ni wakati sahihi wa kusikiliza episode ya 42 ya ujazo imeeleza kila kitu na mifano kama yote. Ushindwe wewe tu... Chukua hatua Sasa Kwa kubofya link hapo chini sasahivi kusikiliza madini.
Show more...
1 year ago
9 minutes 22 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Sifa 04 Zinazonyesha Wewe Ni MNYENYEKEVU Kwenye Maisha Yako...!
Hivi unajua nguvu ya unyenyekevu kwenye maisha yako? Basi fahamu sifa 04 za mtu mnyenyekevu kupitia episode hii.
Show more...
1 year ago
10 minutes 57 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Njia Rahisi Ya Kujenga Uwezo Wa Kujiamini Ndani Ya Dakika 3...!
Unahitaji sana kujiamini kuliko unavyofikiri, episode ya dakika 6 itakusaidia kuongeza uwezo wa kujiamini kwa njia rahisi kabisa.
Show more...
1 year ago
6 minutes 27 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Kama Haupendi Kusoma VITABU Fanya Hivi Kupata Maarifa Kiurahisi...!
Upende au usipende unahitaji sana maarifa na taarifa kupitia kujifunza, umejaribu kusoma vitabu umeshindwa? Basi episode hii itakusaidia kujua sehemu gani rahisi unaweza kupata maarifa kiurahisi kwenye eneo lolote na upige hatua kwenye maisha yako.
Show more...
1 year ago
8 minutes 26 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Namna Rahisi Ya Kujenga NIDHAMU YA KAZI Na Ufanikiwe Zaidi Maishani...!
Hivi unajua Nidhamu ya kazi ndiyo inatofautisha wafanyakazi makini na wafanyakazi wakawaida. Kiwango cha mafanikio yako inategemea Sana kiwango cha nidhamu binafsi.
Show more...
1 year ago
7 minutes 17 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Zijue Aina 05 Za Nidhamu Zenye Kuleta Mafanikio Makubwa...!
Hivi unajua Kiwango Cha Mafanikio Yako inategemea sana na Kiwango Cha Nidhamu Yako. Kupitia episode hii utajua Aina Tano za Nidhamu Zenye Kuleta matokeo Makubwa kama utazingatia na kuziishi kwenye maisha Yako. Unahitaji sana kuwa na Kiwango kikubwa Cha Nidhamu. Sikiliza na uanze kufanikiwa Kwa kuwa utaanza kuishi Kwa Nidhamu kwe ye maisha Yako.
Show more...
1 year ago
10 minutes 28 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Jinsi Ya KUJITAMBULISHA DM Au Kwenye Text Kwa Mara Ya Kwanza Unapomtafuta Mtu Yoyote.
Kama wewe ni wale ambao unawatumia watu DM au text za kawaida Kwa Mara ya Kwanza kama vile "Niaje, Mambo, Vipi, Shwari Mkuu, Harakati Ni Vipi Kiongozi, Mrembo mambo n.k" Tambua unakosea sana Tena sana hiyo siyo Kujitambulisha badala ni salamu tu. Swali linakuja unajua jinsi ya Kujitambulisha mtu akiona DM au text Yako apate kuijibu bila kupuuzia. Unahitaji kuzingatia maeneo matano wakati unamuandika Mtu DM Yako; 1. Jina la mtu unayemtumia ujumbe wako. 2. Jina lako. 3. Shughuli Yako. 4. Hitaji au shida Yako. 5. Hitimisho. Ukizingatia mambo yote hayo DM zako zitajibiwa mpaka ushangae. Kwa mfano... "Habari kaka Amos Nyanda naitwa Innocent Ngaoh ni Mwandishi wa Vitabu pia ni mtengeneza maudhui ya mtandaoni ya kuelimisha jamii, nilikuwa naomba usaidizi ni wapi nitapata ujuzi wa copywriting Ili niwe Mwandishi mzuri wa Malala na Vitabu. Natanguliza shukurani." Mfano wa DM hiyo akiona tu lazima atajibu, Kwa sababu Iko straight to the point. Kujitambulisha ni Sanaa. Ndiyo maana... Una dakika nane za kujua Namna Rahisi ya Kujitambulisha Ili uwe GURU yaani gwiji. Chukua hatua Sasa.
Show more...
1 year ago
8 minutes 13 seconds

Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Podcast mahususi kujifunza mambo ya maendeleo binafsi (Personal development/Self-improvement), maisha, mahusiano, saikolojia na elimu ya fedha. Ni podcast ya kipekee ambayo utajifunza mambo mengi ambayo yanatokea kwenye maisha yetu ya kila siku, kila kitu kinachozungumzwa hapa kina uhalisia na siyo nadharia ya kusadikika. Kuwa sehemu ya familia hii na uhakika hautakuwa kama ulivyokuwa mwanzo, podcast ambayo itaboresha na kuongeza thamani ya maisha yako mara 10X au zaidi. Hakikisha unafollow ili uwe wa kwanza kupata episode mpya kila wiki.