
Je wewe ni mwanahisa na una hisa zozote unamiliki katika soko la DSE?
Kama jibu lako ni hapana.
Basi…
Ndio muda sahihi wa kuanza kuwekeza katika hisa ili ufaidikie na faida kubwa mbili;
1. Ongezeko la mtaji (Capital gain).
2. kupata gawio (Divindend).
Lakini…
Kabla ya kutaka kuwekeza katika hisa hakikisha unakuwa na maarifa sahihi kuhusu hisa ili usije ukapigwa za uso.
Bahati nzuri ni kwamba…
Podcast bora ya kitanzania itakupa mwanga namna ya kujua mambo mengi kuhusu hisa.
Ni wewe kufollow na subscrible ili uwe wa kwanza kusikiliza mfululizo wa episode za elimu ya hisa na mambo mbalimbali…
…ya uwekezaji na maendeleo binafsi.
Huu ni utangulizi kiduchu, madini mengi utapata kwa kubofya link hapa chini kusikiliza madini mazito ya uwekezaji katika hisa.