Podcast mahususi kujifunza mambo ya maendeleo binafsi (Personal development/Self-improvement), maisha, mahusiano, saikolojia na elimu ya fedha.
Ni podcast ya kipekee ambayo utajifunza mambo mengi ambayo yanatokea kwenye maisha yetu ya kila siku, kila kitu kinachozungumzwa hapa kina uhalisia na siyo nadharia ya kusadikika.
Kuwa sehemu ya familia hii na uhakika hautakuwa kama ulivyokuwa mwanzo, podcast ambayo itaboresha na kuongeza thamani ya maisha yako mara 10X au zaidi.
Hakikisha unafollow ili uwe wa kwanza kupata episode mpya kila wiki.
All content for Maisha Ni Kuthubutu Podcast is the property of Innocent Ngaoh and is served directly from their servers
with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Podcast mahususi kujifunza mambo ya maendeleo binafsi (Personal development/Self-improvement), maisha, mahusiano, saikolojia na elimu ya fedha.
Ni podcast ya kipekee ambayo utajifunza mambo mengi ambayo yanatokea kwenye maisha yetu ya kila siku, kila kitu kinachozungumzwa hapa kina uhalisia na siyo nadharia ya kusadikika.
Kuwa sehemu ya familia hii na uhakika hautakuwa kama ulivyokuwa mwanzo, podcast ambayo itaboresha na kuongeza thamani ya maisha yako mara 10X au zaidi.
Hakikisha unafollow ili uwe wa kwanza kupata episode mpya kila wiki.
Tumia Kanuni Ya 60/10/10/10/10 Kupanga Bajeti Ya Fedha Zako.
Maisha Ni Kuthubutu Podcast
9 minutes 22 seconds
1 year ago
Tumia Kanuni Ya 60/10/10/10/10 Kupanga Bajeti Ya Fedha Zako.
Haijalishi wewe ni mpambanaji kiasi gani kama hauna msingi mzuri wa elimu ya fedha.
Basi kuna uwezekano mkubwa utapambana sana ila kiuchumi inakuwa vigumu kukua.
Kwa sababu...
Umekosa nidhamu ya pesa ambayo ni muhimu kuwa nayo kama unataka kufanikiwa katika eneo la fedha.
Kwahiyo...
Ukianza kupanga bajeti ya fedha zako inakuwa rahisi kurekodi matumizi yako ya siku, wiki, mwezi, miezi n.k.
Kwa kujua kwanini pesa zako zinaenda pale na siyo hapa na kwanini hapa na siyo kule.
Kwa sababu bajeti inakusaidia kurekodi na kujua mtuririko wa matumizi yako.
Swali linakuja,
Je, wewe unapanga bajeti ya fedha zako au kikubwa uhai?
Basi...
Leo na habari njema kwako kwamba kupitia Kanuni ya 60/10/10/10/10 utaweza kuwaga fedha yako Katika makundi matano;
1. Kutumia kwenye matumizi ya lazima (Basic needs)
2. Kutumia kwenye starehe na burudani (Wants),
3. Kuweka akiba na uwekezaji (Saving and investing),
4. Kutoa fungu la kumi,
5. Kuweka fedha ya dharura (Emergency fund).
Hivyo basi...
Kanuni ya 60/10/10/10/10 kuilewa vizuri ni wakati sahihi wa kusikiliza episode ya 42 ya ujazo imeeleza kila kitu na mifano kama yote.
Ushindwe wewe tu...
Chukua hatua Sasa Kwa kubofya link hapo chini sasahivi kusikiliza madini.
Maisha Ni Kuthubutu Podcast
Podcast mahususi kujifunza mambo ya maendeleo binafsi (Personal development/Self-improvement), maisha, mahusiano, saikolojia na elimu ya fedha.
Ni podcast ya kipekee ambayo utajifunza mambo mengi ambayo yanatokea kwenye maisha yetu ya kila siku, kila kitu kinachozungumzwa hapa kina uhalisia na siyo nadharia ya kusadikika.
Kuwa sehemu ya familia hii na uhakika hautakuwa kama ulivyokuwa mwanzo, podcast ambayo itaboresha na kuongeza thamani ya maisha yako mara 10X au zaidi.
Hakikisha unafollow ili uwe wa kwanza kupata episode mpya kila wiki.