Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Business
Society & Culture
History
Sports
Health & Fitness
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts221/v4/f9/4a/b0/f94ab09c-a802-a022-448f-d6304bbab2d8/mza_17649489430173303793.png/600x600bb.jpg
Mwl. Erick’s Podcast
ericleelyimo
30 episodes
1 week ago
The word of God for an endless life of victory
Show more...
Christianity
Religion & Spirituality
RSS
All content for Mwl. Erick’s Podcast is the property of ericleelyimo and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
The word of God for an endless life of victory
Show more...
Christianity
Religion & Spirituality
Episodes (20/30)
Mwl. Erick’s Podcast
KRISTO MAISHA YETU - PT 1
“KRISTO MAISHA YETU” 1️⃣ Maisha ya Mkristo siyo tu kuhusu Yesu — ni maisha ya Yesu ndani yetu.2️⃣ Yaliyopita yamepita, maana tulisulubishwa pamoja naye na kufufuliwa kwa upya wa uzima.3️⃣ Leo tunaishi kwa nguvu ya Kristo aliye ndani yetu — ndani yake tunaishi, tunakwenda na kuwa na uhai wetu.4️⃣ Kristo ndiye kusudi letu, raha yetu, na sababu ya kuendelea kuishi.5️⃣ Hii ni safari ya kuelewa kwamba Kristo ndiye maisha yetu yote.
Show more...
1 week ago
1 hour 8 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
UFANISI KWENYE MAOMBI
Maombi yenye matokeo hayategemei hisia, bali kanuni za kiroho.Mungu haguswi na machozi, bali na imani inayotenda kazi kwa Neno lake.Katika mafundisho haya, utagundua nguvu ya Neno la Mungu linaloumba, kuponya na kushinda giza.Utaona jinsi kukaa katika Neno kunavyofungua mlango wa majibu ya maombi.Maisha Yenye Ufanisi wa Maombi — Siri ya kuomba na kuona matokeo!
Show more...
1 week ago
1 hour 6 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
NGUVU YA UCHAGUZI NA MAAMUZI
Maisha yako leo yanaamuliwa na chaguo na maamuzi unayofanya — si mazingira yako, si asili yako.Katika mafundisho haya yenye nguvu, jifunze jinsi ya kusikia na kutenda Neno la Mungu ili kubadilisha hatima yako.Ni wakati wako wa kuinuka, kufanya maamuzi, na kuishi maisha ya thamani ambayo Mungu amekusudia kwako!
Show more...
1 week ago
57 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
A BRANCH OF GOD
You are a branch of God. He is alive in you. As His life pushes up through you, you bear God-fruit.
Show more...
1 week ago
1 hour 1 minute

Mwl. Erick’s Podcast
HABARI NJEMA
Sikiliza habari izi Njema za Injili na maisha yako hayatabaki kama yalivyokua
Show more...
1 week ago
47 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
NEEMA YA MAFANIKIO
Mafanikio ni kazi ya Neema: Jifunze zaidi kwenye somo hili
Show more...
1 week ago
1 hour 36 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
VISIONS & DECISIONS - PT 1
Maisha yako yanaamuliwa hasa na maono unayoyaona na maamuzi unayofanya. Mungu hawezi kubadilisha maisha yako mpaka aweze kuathiri maono na maamuzi yako.Jifunze zaidi kwenye somo hili:
Show more...
3 months ago
41 minutes 11 seconds

Mwl. Erick’s Podcast
CHANGAMOTO ZA MAISHA
 Changamoto ndizo zinazofanya maisha kuwa ya kuvutia na kuzishinda ndiko kunakofanya Maisha kuwa na maana.  Tofauti kati ya watu waliofanikiwa kimaisha na wasiofanikiwa ni uwezo wao wa kukabiliana na changamoto za kimaisha kwa usahihi na sio kukosekana kwa changamoto.Jifunze zaidi kwenye somo hili
Show more...
4 months ago
53 minutes 3 seconds

Mwl. Erick’s Podcast
AGANO JIPYA PT. 1
Pata uelewa wa Agano ili kuelewa Ukuu na Neema tuliyo nayo katika agano Jipya.
Show more...
4 months ago
34 minutes 35 seconds

Mwl. Erick’s Podcast
IJUE THAMANI YAKO
IJUE THAMANI YAKO Your God's best na umeumbwa on God's classNa Mungu ni First class all the way. Wewe ni Poema (Kazi ya Sanaa ya Mungu). Limited edition (Hakuna kama wewe) Kwenye somo hili ijue thamani yako katika Kristo Moyo wako utainuka, your hope will be brighter, your faither will be stronger, your love will be deeper and your life will be fuller.
Show more...
5 months ago
58 minutes 39 seconds

Mwl. Erick’s Podcast
THE FAVOR FACTOR
THE FAVOR FACTOR(UPENDELEO/KIBALI) Kama mtoto wa Mungu wewe ni mtoto wa Kibali na Upendeleo Maisaha yako ni simulizi ya Kibali na Upendeleo Umeitiwa kuishi Maisha yenye Upendele usio na Ustaarabu Favor your Advantage, Jifunze Zaidi kwenye somo hili:
Show more...
5 months ago
1 hour 55 seconds

Mwl. Erick’s Podcast
THE SURE FOUNDATION
Msingi SabitiHii itabadilisha mtembeo wa maisha yako ya imani milele.
Show more...
5 months ago
1 hour 21 minutes 49 seconds

Mwl. Erick’s Podcast
MBEGU ZA WATU
MBEGU ZA WATU Watu ni mbegu. Ni aina gani ya watu wamepandwa kwenye Maisha yako. Aina ya watu waliokuzunguka itaamua aina ya mavuno kwenye Maisha yako Baadhi ya watu ni magugu na wengine ni Mbegu Njema Wewe mtoto wa Ufalme ni Mbegu Njema. JIfunze Zaidi kwenye somo hili namna unavyoweza kuzaa sana kuwa baraka kwenye ulimwengu wako:
Show more...
5 months ago
58 minutes 57 seconds

Mwl. Erick’s Podcast
NGUVU YA MANENO
NGUVU YA MANENO Maneno unayoyaongea ni Muhimu kuliko chochote kwenye Maisha yako Maisha yako yamejaa matunda ya midomo yako. Jifunze Zaidi kwenye somo hili:
Show more...
6 months ago
1 hour 6 minutes 18 seconds

Mwl. Erick’s Podcast
NGUVU YA FIKRA
NGUVU YA FIKRA Fikra zako ni Muhimu kuliko Fikra za Mungu. Fikra za Mungu zinakua na tija pale zinapofanyika kuwa fikra zako. Fikra za Mungu juu ya Israel ilikua ni kuwapeleka kwenye nchi inayotiririka maziwa na asali lakini baadhi yao walijaa fikra za matango, matikiti na vitunguu swaumu vya Misri hivyo hawakuweza kuingia nchi ya Ahadi. Fikra zao zilikinzana na Fikra za Mungu hivyo hawakuweza kufurahia mema aliyowawazia. Fikra ni Mbegu, na Maisha yako ni Mavuno ya mbegu za fikra zilizopandwa kwenye moyo wako. Jifunze Zaidi kwenye somo hili litalobadilisha Maisha yako milele
Show more...
6 months ago
43 minutes 12 seconds

Mwl. Erick’s Podcast
FAITH FOR WAR
FAITH FOR WARFARE Maisha yana vita na kukataa uwepo wa vita hakuondoi vitaKitachokupa faida ni kuwa tayari kwa ajili ya vita kwa Kuvaa silaha zoto za Mungu (Efeso 6:11) Adui hana nguvu ila alichonacho ni HILA (Efeso 6:11). Msingi wa Hila ni Uongo na Msingi wa Imani ni KWELI YA NENO LA MUNGU. Ngao ya Imani ndio silaha pekee ya kukukinga na mishale ya moto ya adui Ufanisi wa Ngao yako unatemea kiwango cha kweli kilichoko ndani yako (Yohana 8:32) Mungu amekuambia nini kuhusu Afya Yako, Uchumi, Familia, Watoto, n.k Maarifa ya neno uliyonanyo kuhusu maeneo mbalimbali ya Maisha yako ndio yatayokupa ulizi pale vita itapoinuka kwenye eneo lolote kweye Maisha yako kwakua unajua vita inatokana na HIla (Uongo) na Imani yako ni Imara kwakua Imejengwa Juu ya Kweli ambayo ni Neno Na Mungu. Jifunze Zaidi kwenye somo hili:
Show more...
6 months ago
57 minutes 20 seconds

Mwl. Erick’s Podcast
KANUNI YA MBEGU - PT 4
KANUNI YA MBEGU - MAWAZO Unachowaza kuhusu wewe na maisha yako ni Muhimu kuliko kile Mungu au shetani anawaza kuhusu wewe. Mawazo yako yanaweza leta mauti au uzima kwenye maisha yako. Jifunze Zaidi kwenye somo hili:
Show more...
6 months ago
58 minutes 27 seconds

Mwl. Erick’s Podcast
WATENDAJI WA NENO - PT 2
Namna unvyopokea neno inaamua matokeo ya maisha yako. Kwa wana wa Mungu hatupokea neno la Mungu passively (dichomai) bali TUNALICHUKUA (Lambano) Wengi wamekaa passively wakisubiri Bwana atende wakati Bwana ameshawapa kila kitu kifaacho kwa ajili ya uzima na utaua (2 Petro 1:3). Kinatochakiwa ni wao KUCHUKUA kile kilichoko ndani yako katika Kristo. Mat 21:22  Na yo yote mtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapokea (Lambano). Neno mtapokea ni neno la Kiyunani LAMBANO likiimanisha kuchukua kwa ujasiri kama mtu anayechukua kile kilicho chake.  Mwana wa Mungu chukua maisha ya utukufu uliyoitiwa kuishi Jifunze Zaidi kwenye somo hili
Show more...
7 months ago
1 hour 7 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
KANUNI YA MCHAKATO - PT 2
KANUNI YA MCHAKATO - PT 2 Kwenye sehemu ya pili ya somo hili tunaangalia faida ya mchakato. Mungu huwapa watu sawasawa na uwezo wao: Mathayo 25:15“Akampa mmoja talanta tano, na mmoja talanta mbili, na mmoja talanta moja, kila mtu kadiri ya uwezo wake; akasafiri mara. Ili kufanya makubwa Zaidi badala ya kukaa na wishful thinking chukua hatua na kuongoza capacity (uwezo wako). Hatima ni kwa wanaoweza kupambana (fighters) na wanaoweza kutamalaki territories.  Kutembea katika halisia za baraka tulizo nazo katika Kristo ni Zaidi ya kufunga, kuomba na kusoma neno.  Jifunze Zaidi kwenye somo hili:
Show more...
7 months ago
1 hour 2 minutes 35 seconds

Mwl. Erick’s Podcast
WATENDAJI WA NENO
IWENI WATENDAJI WA NENOYak 1:22-25 Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu. Maana mtu akiwa ni msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, huyo ni kama mtu anayejitazama uso wake wa asili katika kioo;  Lakini yeye anayeitazama sheria kamilifu iliyo ya uhuru, na kukaa humo, asiwe msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi, huyo atakuwa heri katika kutenda kwake.1. Ni udanganyifu kuwa msikiaji wa Neno pekeeMt 7:24-27 Basi kila asikiaye hayo maneno yangu, na kuyafanya, atafananishwa na mtu mwenye akili, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba; mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile; nayo haikuanguka, kwa maana misingi yake imewekwa juu ya mwamba. Na kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga, mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba hiyo; ikaanguka: na anguko lake lilikuwa kubwa. 2. Anguko katika maisha si kwa sababu ya yale tunayokabiliana nayo bali ni yale tunayofanyaJifunze zaidi kwenye somo hili
Show more...
7 months ago
1 hour 57 seconds

Mwl. Erick’s Podcast
The word of God for an endless life of victory