Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
History
TV & Film
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts114/v4/f2/f4/19/f2f419dd-3297-1cfb-9295-94329abcf14c/mza_16593542312171627971.jpg/600x600bb.jpg
Afya Talk
Dr. Rutasingwa, MD.
42 episodes
52 minutes ago
No. 1 Swahili Health Podcast | Available On All Major Podcasts | Engage On #AfyaTalk
Show more...
Medicine
Health & Fitness
RSS
All content for Afya Talk is the property of Dr. Rutasingwa, MD. and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
No. 1 Swahili Health Podcast | Available On All Major Podcasts | Engage On #AfyaTalk
Show more...
Medicine
Health & Fitness
Episodes (20/42)
Afya Talk
Waridi 02: Saratani ya Shingo ya Kizazi

Katika Kuadhimisha siku ya wanawake Duniani, nakukaribisha kwenye series hii fupi ya Waridi. Kila siku kuanzia Tarehe 7 mpaka 11 Juma hili saa tatu asubuhi jiunge kusikiliza mambo mbalimbali; nikiangazia Saratani, Afya ya Uzazi, Unyanyasaji Kijinsia Nk. Karibu uweze kushirikisha wengine.

Show more...
3 years ago
11 minutes 57 seconds

Afya Talk
Waridi 01: Saratani ya Matiti

Katika Kuadhimisha siku ya wanawake Duniani, nakukaribisha kwenye series hii fupi ya Waridi. Kila siku kuanzia Tarehe 7 mpaka 11 Juma hili saa tatu asubuhi jiunge kusikiliza mambo mbalimbali; nikiangazia Saratani, Afya ya Uzazi, Unyanyasaji Kijinsia Nk. Karibu uweze kushirikisha wengine.

Show more...
3 years ago
11 minutes 2 seconds

Afya Talk
Eczema

Inawezekana mara kwa mara umekuwa ukisikia neno 'Eczema' na watu wakilala kuhusu kusumbuliwa na hilo tatizo. Leo kwenye Afya Talk, nimekuwekea Muhtasari kuhusu hili tatizo na kukupa ushauri yapi ya muhimu kufanya. Sikiliza kupita Podcast channel yoyote na shirikisha wengine. 

Show more...
3 years ago
9 minutes 56 seconds

Afya Talk
Fahamu kuhusu Chunusi

Katika Misri ya kale, Mayai ya mbuni yalitumiwa kutibu chunusi! Je wewe unatumia njia gani?! au umewahisi kusikia njia gani? Leo nimeeleza kuhusu yapi ya kuzingatia juu ya Chunusi na namna gani ya kujisadia mwenyewe. Karibu Usikulize na kushirikisha wengine.

Show more...
3 years ago
8 minutes 39 seconds

Afya Talk
Fahamu Kuhusu Kiharusi

Moja kati ya matatizo ya kiafya yanayowakumba wengi kwasasa ni kupooza kutokana na kiharusi. Leo nimezungumza kuhusu dalili na visababishi vya kiharusi kwa ufupi. Unaweza kusikiliza hapa.

Show more...
3 years ago
6 minutes 12 seconds

Afya Talk
Maumivu ya Kichwa.
Je wajua kuwa kutokunywa maji kuna weza kukufanya uumwe na kichwa? Yako mengi leo tukitazama kuhusu sababu za watu kuumwa kichwa mara kwa mara, dalili hatarishi, nk! Sikiliza sasa!
Show more...
3 years ago
9 minutes 9 seconds

Afya Talk
Mazingira na Afya
Mazingira yanayotuzunguka yanahusiana kwa karibu sana na afya zetu. Magonjwa mbalimbali kama Kipindupindu, Minyoo nk husababishwa na Mazingira yasiyo salama. Karibu tena kwenya Afya Talk, kujifunza na kushirikisha wengine.
Show more...
3 years ago
13 minutes 46 seconds

Afya Talk
Chakula Na Afya - II

Baada ya hapo jana kutazama kuhusu aina mbalimbali ya vyakula. Leo ni sehemu ya pili na ya mwisho ambapo nimeeleza kifupi kuhusu namna gani vyakula vinagusa afya yetu. Nimezungumza kuhusu mmeng'enyo wa chakula, nk Usiache kusikiliza na kushirikisha wengine.

Show more...
3 years ago
17 minutes 28 seconds

Afya Talk
Chakula na Afya - I

Karibu tena kwenye Afya Talk. Leo tunaanza rasmi msimu wa tatu.

Chakula na Afya ni mada itakayozungumzia namna gani vyakula vina athiri afya zetu. Leo kwenye utangulizi tumezungumza kuhusu vyakula vya wanga, protini, mafuta na maji. Karibu ujifunze na kushirikisha wengine.

Show more...
3 years ago
24 minutes 40 seconds

Afya Talk
Huba 18+ EP04: Kufika Mshindo Mapema kwa Wanaume.
Tatizo hili ni Moja ya visababishi vya Mahusiano mengi kuvunjika. Wanaume wanaofika Mshindo Mapema hushindwa kuwaridhisha wenza wao. Sikiliza Leo uweze kujua sababu za tatizo hili. #Huba❤️ #AfyaTalk #Tanzania
Show more...
4 years ago
8 minutes 10 seconds

Afya Talk
Huba 18+ EP03: Maumivu wakati wa Kujamiiana.
Tatizo la kupata maumivu kabla, wakati na baada ya tendo la Kujamiiana ni Moja ya tatizo linalowakumba wengi. Sikiliza kipindi hiki uweze kujua sababu na Njia za kufanya. Tufuatilie #AfyaTalk #Huba❤️ #Tanzania #Huba18+
Show more...
4 years ago
11 minutes 38 seconds

Afya Talk
Huba 18+ E02: Tatizo la Uke Kuwa Mkavu
Karibu kwenye Afya Talk Season 03: Hii ni season ya kipekee inayobeba Jina la Huba 18+ ambapo tunazungumzia masuala ya ujana, Mahusiano nk. Leo nitazungumza kuhusu sababu zinazofanya uke Kuwa Mkavu, Nini Cha kufanya, nk. Sikiliza Sasa na Shirikisha wengine.
Show more...
4 years ago
10 minutes 11 seconds

Afya Talk
Huba 18+ E01: Harafu Ya Ukeni!
Karibu kwenye Afya Talk Season 03: Hii ni season ya kipekee inayobeba Jina la Huba 18+ ambapo tunazungumzia masuala ya ujana, Mahusiano nk. Leo nitazungumza kuhusu harafu ya Uke, Je mabadiliko ya harufuya Uke ina maana yoyote? Sikiliza Sasa na Shirikisha wengine.
Show more...
4 years ago
19 minutes 21 seconds

Afya Talk
Tatizo la kutokwa Uchafu ukeni.
Je unapenda kujua ni aina gani ya Uchafu ni hatari na ipi ni kawaida. Sikiliza Kipindi hiki kuweza kujifunza mambo haya. Usiache kuwashirikisha wengine.
Show more...
4 years ago
10 minutes 8 seconds

Afya Talk
Shinikizo la Damu wakati wa Ujauzito
Sikiliza kufahamu juu ya Tatizo hili la Shiniko la Damu wakati wa Ujauzito; nini cha kufanya, dalili hatarishi na mengineyo mengi.
Show more...
4 years ago
10 minutes 8 seconds

Afya Talk
Fahamu Safari ya Ujauzito
Jifunze maandalizi ya Ujauzito, nini cha kufanya wakati wa Ujauzito na Yapi ya kutegemea.
Show more...
4 years ago
18 minutes 8 seconds

Afya Talk
Fahamu Kuhusu Hedhi!
Jifunze kuhusu hedhi ni nini na mambo mbalimbali yahusianayo na hedhi!
Show more...
4 years ago
14 minutes 57 seconds

Afya Talk
Fahamu Tatizo La Mgongo Wazi na Vichwa Vikubwa kwa Watoto!
Jifunze nini cha kufanya kupunguza uwezekano wa kujifungua mtoto mwenye tatizo la mgongo wazi au kichwa kikubwa!
Show more...
4 years ago
10 minutes 28 seconds

Afya Talk
Afya Ya Ubongo
Jua ya muhimu ili kutunza Afya ya Ubongo.
Show more...
4 years ago
9 minutes 9 seconds

Afya Talk
Tatizo la Kutapika Damu na Kutokwa Damu kwenye Njia ya Haja Kubwa!
Wikendi Salama Episode 1
Show more...
4 years ago
13 minutes 8 seconds

Afya Talk
No. 1 Swahili Health Podcast | Available On All Major Podcasts | Engage On #AfyaTalk