
Baada ya hapo jana kutazama kuhusu aina mbalimbali ya vyakula. Leo ni sehemu ya pili na ya mwisho ambapo nimeeleza kifupi kuhusu namna gani vyakula vinagusa afya yetu. Nimezungumza kuhusu mmeng'enyo wa chakula, nk Usiache kusikiliza na kushirikisha wengine.