Ni kitabu kinachohusu MALEZI ya kuwalea watoto kuja kuwa vijana mashughuli napo baadae. Na pia kinafundisha na na ya kukabiliana na changamoto na hasa linapokuja suala la malezi baada ya kutalikiana.
All content for Think Big - Nyanzala Kilima is the property of Nyanzala Kilima and is served directly from their servers
with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Ni kitabu kinachohusu MALEZI ya kuwalea watoto kuja kuwa vijana mashughuli napo baadae. Na pia kinafundisha na na ya kukabiliana na changamoto na hasa linapokuja suala la malezi baada ya kutalikiana.
Get The Guy ni kitabu kinachotufunza namna ya kupata Mwanaume wa maisha yako. Ni kitabu kinachofichua Siri na tabia za wanaume. Na uzuri ni kwamba kitabu hiki kimeandikwa na mwanaume hivo basi ameelezea kiundani kabida tabia zao wao kama jamii ya kiume.
Kitabu hiki kinahusu MALEZI ya kuwalea watoto ili kuja kuwa watu mashughuli hapo baadae lakini pia ni kitabu kinachohusu malezi binafsi kwa wale ambao kuna mkanganyiko wa malezi katika familia zao na hasa linapotokea suala la wazazi kutalikiana
Ni kitabu kinachohusu MALEZI ya kuwalea watoto kuja kuwa vijana mashughuli napo baadae. Na pia kinafundisha na na ya kukabiliana na changamoto na hasa linapokuja suala la malezi baada ya kutalikiana.