Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Business
Society & Culture
Sports
Health & Fitness
Technology
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
Loading...
0:00 / 0:00
Podjoint Logo
US
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts221/v4/48/92/4d/48924dd9-1a4f-011f-053e-cb9c696e4bd9/mza_2344061327887287667.jpg/600x600bb.jpg
Doctor Rafiki Afrika
Doctor Rafiki
61 episodes
5 days ago
Habari, Kwa majina naitwa Dr. Julieth Sebba, MD. Ni daktari na mtafiti katika sekta ya afya Tanzania. Ungana nami kila wiki, nikikushirikisha maarifa mbalimbali katika kuboresha afya yako, afya ya familia yako na jamii kiujumla.
Show more...
Self-Improvement
Education,
Health & Fitness,
Mental Health
RSS
All content for Doctor Rafiki Afrika is the property of Doctor Rafiki and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Habari, Kwa majina naitwa Dr. Julieth Sebba, MD. Ni daktari na mtafiti katika sekta ya afya Tanzania. Ungana nami kila wiki, nikikushirikisha maarifa mbalimbali katika kuboresha afya yako, afya ya familia yako na jamii kiujumla.
Show more...
Self-Improvement
Education,
Health & Fitness,
Mental Health
Episodes (20/61)
Doctor Rafiki Afrika
Maumivu ya mgongo kwa watoto na jinsi ya kukabiliana nayo.
Karibu kwenye Doctor Rafiki Africa, wiki hii unaenda kuungana na wataalamu wa mazoezi tiba, Emmanuel Jacob na Daniel Materu tunapozungumzia suala zima la maumivu ya mgongo kwa watoto na jinsi ya kukabiliana nayo.
Show more...
4 days ago
31 minutes 30 seconds

Doctor Rafiki Afrika
MAUMIVU YA MGONGO KWA WAJAWAZITO
Karibu kwenye Doctor Rafiki Africa, tunapoangazia suala zima la maumivu ya mgongo kwa wajawazito, Karibu kusikiliza.
Show more...
1 week ago
38 minutes 28 seconds

Doctor Rafiki Afrika
NJIA ZA KUKABILIANA NA MAUMIVU YA MGONGO
Habari Rafiki, karibu kwenye episode nyingine ya Doctor Rafiki Africa, na wiki hii tunazungumzia njia za kukabiliana na maumivu ya mgongo. Ni furaha yetu utaenda kujifunza mambo mbalimbali ukiungana na wataalumu wetu wa masuala ya physiotherapy. Karibu kusikiliza
Show more...
2 weeks ago
29 minutes 43 seconds

Doctor Rafiki Afrika
Nini kinasababisha maumivu ya mgongo ya mara kwa mara
Je, unakumbwa na maumivu ya mgongo mara kwa mara? Katika video hii, daktari wa mazoezi (physiotherapy) Emmanuel Jacob ndani ya Doctor Rafiki Africa ataeleza kwa undani sababu kuu zinazoweza kusababisha maumivu ya mgongo ya mara kwa mara, dalili unazopaswa kuzingatia, na njia bora za kuzuia na kutibu.
Show more...
3 weeks ago
17 minutes 3 seconds

Doctor Rafiki Afrika
Supplements kwa Makundi Maalumu – Fahamu Nini cha Kuzingatia
Katika kipindi hiki cha Doctor Rafiki kwa kushirikiana na Nutrihaven, tunazungumzia umuhimu wa virutubisho kwa makundi maalumu kama wazee, wanawake kabla na baada ya menopause, wajawazito, wanaonyonyesha, na watu wenye magonjwa sugu. Dr. Julieth Sebba na Dr. Carl Mhina wanakupa mwongozo wa kitaalamu kuhusu wakati, sababu, na tahadhari za kutumia virutubisho kwa afya bora.
Show more...
1 month ago
32 minutes 44 seconds

Doctor Rafiki Afrika
Je, Kila Suppliment Za Kula Ni Salama Kwako?
1 month ago
34 minutes 16 seconds

Doctor Rafiki Afrika
NJIA 05 ZA KUJIANDAA ILI KUPATA MAZIWA YA KUTOSHA BAADA YA KUJIFUNGUA
Habari Rafiki, tukiwa kwenye wiki ya unyonyeshaji karibu tujifunze njia 05 za kujiandaa ili kupata maziwa ya kutosha baada ya kujifungua, tukiwa na mtaalamu wa lishe na unyonyeshaji, Idda Katigula.   Kwa maulizo na ushauri Email: dr.rafikiafrica@gmail.com
Show more...
2 months ago
45 minutes 56 seconds

Doctor Rafiki Afrika
JE NI SALAMA KUNG'OA JINO KIPINDI CHA UJAUZITO | EP 2
Katika kipindi hiki cha Doctor Rafiki Africa, Dkt. Julieth Sebba anazungumza na Dkt. Evarist Wilson, daktari bingwa wa kinywa na meno, kuhusu usalama wa huduma za meno kwa wajawazito. Usikose kujua ukweli wa kitaalamu kuhusu tiba ya meno wakati wa ujauzito!
Show more...
2 months ago
18 minutes 37 seconds

Doctor Rafiki Afrika
JE NI SALAMA KUNG'OA JINO WAKATI WA UJAUZITO?
Katika kipindi hiki cha Doctor Rafiki Africa, Dkt. Julieth Sebba anazungumza na Dkt. Evarist Wilson, daktari bingwa wa kinywa na meno, kuhusu usalama wa huduma za meno kwa wajawazito. Usikose kujua ukweli wa kitaalamu kuhusu tiba ya meno wakati wa ujauzito!
Show more...
2 months ago
28 minutes 26 seconds

Doctor Rafiki Afrika
Fahamu kuhusu Bidhaa salama na zisizo salama za Ngozi
Hi rafiki, mambo vipi? karibu kwenye episode ya leo, na wiki hii tunazungumzia suala zima la ngozi tukiangazia kuhusu bidhaa salama na zisizo salama za ngozi. Karibu ungana nami Dr. Julieth Sebba nikiwa na daktari bingwa wa ngozi Dr. Caroline Masanje.
Show more...
2 months ago
24 minutes 41 seconds

Doctor Rafiki Afrika
Jinsi ya kutunza ngozi yako usipate chunusi | Dr. Caroline Masanje
Habari Rafiki, karibu kwenye episode mpya ya Doctor Rafiki Afrika, tukienda kuzungumzia suala zima la ngozi. Wiki hii tunaungana na Daktari bingwa wa masuala ya ngozi, Dr. Caroline Masanje tukiangazia jinsi au namna ya kutunza ngozi yako usipate chunusi. Karibu Kusikiliza. Unaweza kutuandikia maswali au maoni yako kupitia: Email: dr.rafikiafrica@gmail.com
Show more...
3 months ago
20 minutes 53 seconds

Doctor Rafiki Afrika
Njia salama za utunzaji wa ngozi yako | Dr. Rafiki Africa x Dr. Salva Nicas
Karibu kwenye video hii maalum ya Dr. Rafiki Africa tukishirikiana na Dr. Salva, mtaalamu wa magonjwa ya ngozi, ambapo tunazungumzia mbinu salama na bora za kuitunza ngozi yako kila siku. Utajifunza: ✅ Sababu za matatizo ya ngozi yanayotokana na utunzaji usio sahihi ✅ Namna ya kuchagua bidhaa salama kwa ngozi yako ✅ Vidokezo vya asili vya kuimarisha afya ya ngozi ✅ Mambo ya kuzingatia kwa ngozi yenye mafuta, kavu au mchanganyiko
Show more...
3 months ago
39 minutes 40 seconds

Doctor Rafiki Afrika
Je, ni Kweli kuwa pumu ya ngozi (eczema) haiwezi kupona kabisa?
Habari rafiki, karibu kwenye episode mpya ya leo, tukiendelea na mada yetu kuhusu pumu ya ngozi. Wiki hii tukiwa na Daktari bingwa wa ngozi, Dr. Salva Nicas, tunazungumzia kuhusu suala la kupona kwa pumu ya ngozi (eczema). Je? ni kweli kuwa pumu ya ngozi haiwezi kupona kabisa.   Karibu kusikiliza
Show more...
3 months ago
42 minutes

Doctor Rafiki Afrika
UNAJUA NINI CHANZO CHA PUMU YA NGOZI (ECZEMA)? KARIBU TUONGEE
Pumu ya ngozi (eczema) ni tatizo linalowaathiri watu wa rika zote, lakini wengi hawajui chanzo chake halisi. Katika kipindi hiki, Doctor Rafiki akiwa na Dr. Salva Nicas, Md, Mmed wanachambua kwa undani visababishi vya pumu ya ngozi, athari zake, na jinsi ya kujikinga au kuitibu. Karibu upate maarifa sahihi yatakayokusaidia wewe na wapendwa wako kuishi maisha bora bila usumbufu wa ngozi. Sikiliza hadi mwisho – afya ni msingi wa maisha!
Show more...
4 months ago
36 minutes 24 seconds

Doctor Rafiki Afrika
MSIMU WA MAFUA: JINSI YA KUJIKINGA NA KUTIBU
Katika kipindi hiki, Doctor Rafiki anazungumzia ongezeko la mafua katika jamii kipindi hiki cha msimu wa baridi na mvua. Utajifunza visababishi vikuu vya mafua, jinsi yanavyoenea, na hatua rahisi lakini muhimu za kujikinga na kutibu mafua kabla hayajawa makubwa. Sikiliza upate elimu ya afya kwa maisha bora! #doctorrafikiafrica kwa mawasiliano: dr.rafikiafrica@gmail.com
Show more...
4 months ago
24 minutes 5 seconds

Doctor Rafiki Afrika
KWANINI TUNAWE MIKONO? | DR. RAFIKI AFRICA
Hello Rafiki, karibu kwenye episode nzuri ya Doctor Rafiki Africa, leo tunazungumzia suala zima la 'Kunawa Mikono'. Je ni kweli kunawa mikono kunakulinda na magonjwa? Karibu kujifunza.   Kwa mawasiliano nasi, barua pepe: dr.rafikiafrica@gmail.com
Show more...
4 months ago
15 minutes 33 seconds

Doctor Rafiki Afrika
Sababu 05 muhimu kwanini mtoto wako apewe chanjo | Dr. Rafiki
Habari Rafiki, Karibu kwenye doctor rafiki podcast, wiki hii tunazungumzia suala zima la chanjo, na tunaenda kukueleza sababu 05 muhimu kwanini mtoto apewe chanjo. Karibu tujifunze pamoja Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana nasi kupitia barua pepe dr.rafikiafrica@gmail.com
Show more...
5 months ago
11 minutes 54 seconds

Doctor Rafiki Afrika
MASWALI 10 JUU YA TB SUGU | DR. RAFIKI AFRICA
Habari rafiki, karibu kwenye dr. rafiki podcast; Karibu ujifuzne kuhusu kifua kikuu sugu, jinsi kinavyoenea, dalili zake, na mbinu za matibabu. Sikiliza majibu ya maswali muhimu kuhusu ugonjwa huu hatari
Show more...
5 months ago
18 minutes 27 seconds

Doctor Rafiki Afrika
CHANGAMOTO YA HARUFU MBAYA MDOMONI NA UTATUZI WAKE
Habari Rafiki, karibu kwenye doctor rafiki podcast, leo ikiwa ni siku ya afya ya kinywa duniani, tunaangazia suala zima la changamoto ya harufu mbaya mdomoni pamoja na namna ya utatuzi wake. Ungana nami Dr. Julieth Sebba, MD tukiwa na mgeni wetu ambaye yeye ni daktari bingwa afya ya kinywa na meno, Dr. Evarist Wilson.
Show more...
6 months ago
24 minutes

Doctor Rafiki Afrika
NJIA 05 ZA KUTUNZA UZITO SAHIHI | Doctor Rafiki Africa
Habari Rafiki, Fahamu njia 05 za kutunza uzito sahihi. Karibu ungana nami Doctor Julieth Sebba, MD. 
Show more...
6 months ago
25 minutes 49 seconds

Doctor Rafiki Afrika
Habari, Kwa majina naitwa Dr. Julieth Sebba, MD. Ni daktari na mtafiti katika sekta ya afya Tanzania. Ungana nami kila wiki, nikikushirikisha maarifa mbalimbali katika kuboresha afya yako, afya ya familia yako na jamii kiujumla.