Habari, Kwa majina naitwa Dr. Julieth Sebba, MD. Ni daktari na mtafiti katika sekta ya afya Tanzania. Ungana nami kila wiki, nikikushirikisha maarifa mbalimbali katika kuboresha afya yako, afya ya familia yako na jamii kiujumla.
All content for Doctor Rafiki Afrika is the property of Doctor Rafiki and is served directly from their servers
with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Habari, Kwa majina naitwa Dr. Julieth Sebba, MD. Ni daktari na mtafiti katika sekta ya afya Tanzania. Ungana nami kila wiki, nikikushirikisha maarifa mbalimbali katika kuboresha afya yako, afya ya familia yako na jamii kiujumla.
Njia salama za utunzaji wa ngozi yako | Dr. Rafiki Africa x Dr. Salva Nicas
Doctor Rafiki Afrika
39 minutes 40 seconds
5 months ago
Njia salama za utunzaji wa ngozi yako | Dr. Rafiki Africa x Dr. Salva Nicas
Karibu kwenye video hii maalum ya Dr. Rafiki Africa tukishirikiana na Dr. Salva, mtaalamu wa magonjwa ya ngozi, ambapo tunazungumzia mbinu salama na bora za kuitunza ngozi yako kila siku. Utajifunza:
✅ Sababu za matatizo ya ngozi yanayotokana na utunzaji usio sahihi
✅ Namna ya kuchagua bidhaa salama kwa ngozi yako
✅ Vidokezo vya asili vya kuimarisha afya ya ngozi
✅ Mambo ya kuzingatia kwa ngozi yenye mafuta, kavu au mchanganyiko
Doctor Rafiki Afrika
Habari, Kwa majina naitwa Dr. Julieth Sebba, MD. Ni daktari na mtafiti katika sekta ya afya Tanzania. Ungana nami kila wiki, nikikushirikisha maarifa mbalimbali katika kuboresha afya yako, afya ya familia yako na jamii kiujumla.