Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Business
Society & Culture
History
Sports
Health & Fitness
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts116/v4/3c/4e/b9/3c4eb93f-2389-9caf-e332-a59d118800a1/mza_6621522603631241436.jpg/600x600bb.jpg
Babananiii
Fabian C. Mwakabanje
51 episodes
6 days ago
A literate African empowering the community through literacy programs.
Show more...
Books
Arts
RSS
All content for Babananiii is the property of Fabian C. Mwakabanje and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
A literate African empowering the community through literacy programs.
Show more...
Books
Arts
Episodes (20/51)
Babananiii
BOOK CLUB FRIDAY JAN 24
First week discussion on the internet, the dark web and all technology stuff.
Show more...
1 year ago
16 minutes 41 seconds

Babananiii
VITABU VYA WATOTO
HAdithi hadithi za watoto. Children story books, read alouds
Show more...
1 year ago
1 hour 36 minutes 8 seconds

Babananiii
Nyongeza fikra yako
Mawazo
Show more...
2 years ago
1 minute 56 seconds

Babananiii
Poems by Poets
Collection from my favourites.
Show more...
2 years ago
1 minute 37 seconds

Babananiii
What's Yah Take?
Questions I ask myself in solitude...
Show more...
2 years ago
2 minutes 55 seconds

Babananiii
Pretending poem
By Salma Shuma
Show more...
3 years ago
2 minutes 8 seconds

Babananiii
Sermon Design and Delivery
Thomas H. Holland
Show more...
3 years ago
9 minutes 1 second

Babananiii
TUJISAHIHISHE Na. 2
"Elimu" na Kujielimisha.
Show more...
3 years ago
7 minutes 41 seconds

Babananiii
TUJISAHIHISHE (Sehemu 1)
Tujisahihishe, kitabu kiliandikwa na Hayati Baba Wa Taifa Letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanzania, mwezi Mei mwaka 1962, Dar es Salaam, Tanganyika.
Show more...
3 years ago
13 minutes 38 seconds

Babananiii
JINSI YA KUWEKA MIPANGO
*JINSI YA KUWEKA MIPANGO* A. Marlene Wilson anasema kwamba mchakato ulioratibiwa unapaswa kuzingatia kanuni zifuatazo: 1. *Malengo;* ni matokeo yanayotazamiwa; mahali ambapo mtu au taasisi inataka kufika -- hatima au maazimio yake. 2. *Maazimio;* kutafsiri malengo na madhumuni kwa njia iliyo wazi na rahisi ya kueleweka na kutekelezeka (wakati mwingine huitwa mipango kazi). 3. *Kazi;* ni mambo gani ya kuyatekeleza ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. 4. *Mipango;* ni mbinu na mtiririko wa kazi ili kufikia malengo. 5. *Bajeti* ni sehemu ya mpango iliyoainishwa kitarakimu na kuwekewa kiasi cha fedha. 6. *Ratiba;* ni mpango wenye tarehe za utekelezaji na watumishi wahusika. 7. *Tathmini;* ni kuipima kazi inayofanyika kama vinawiana na mipango iliyowekwa. Kubaini iwapo mpango umefikia malengo yaliyokusudiwa. B: Ili timu iwe na tija ni sharti mipango au kazi ifafanuliwe waziwazi - iandikwe. 1. Mungu ni Mungu anayekusudia na kutenda mambo yake (Isaya 46:11). 2. Mfano wa Wanawali kumi: watano waliojiandaa na watano wapumbavu (Mathayo 25:1-13) 3.Tunajifunza Daudi alivyoandaa mpango wa kulirejesha sanduku lakini uliokuwa kinyume na mpango wa Mungu (1 Nyakati 13:1-15:19; Kutoka 25:10-15) JINSI YA KUANZISHA HUDUMA ZENYE TIJA (VIJANA)
Show more...
4 years ago
4 minutes 53 seconds

Babananiii
Hawawezi kuelewa
Maelezo yoyote utakayoyatoa yanayokuhusu wewe kwa ubinafsi hata kama si makosa kujipenda na kujipendelea ila wengine ni vigumu kukuelewa.
Show more...
4 years ago
4 minutes 15 seconds

Babananiii
KUSADIKIKA:- MJUMBE WA MASHARIKI
Kitabu Mkononi leo hii kinatoka kwa mwandishi nguli na mbobezi wa lugha ya Kiswahili. Ukurasa wa 19
Show more...
4 years ago
3 minutes 7 seconds

Babananiii
MTU MWENYE BAHATI KULIKO WOTE KATIKA BABELI
Mwisho wa simulizi yetu ya tajiri wa babeli. Kazi ni utu. Kazi inamuheshimisha mtu katika watu
Show more...
4 years ago
50 minutes 9 seconds

Babananiii
MFANYABIASHARA WA NGAMIA WA BABELI
Penye nia pana njia. Kama una nia basi njia utaiona na kuiendea.
Show more...
4 years ago
26 minutes 54 seconds

Babananiii
KUTA ZA BABELI
Gharama ya ulinzi ni ya asili na kubwa sana kwa mwanadamu. Anahitaji kuwa salama, na mali zake kuwa katika ulinzi na usalama. Ndiyo dhima ya sehemu hii ya Saba (7) katika mfululizo wa simulizi ya TAJIRI WA BABELI.
Show more...
4 years ago
12 minutes 11 seconds

Babananiii
MKOPESHA PESA WA BABELI
"Zawadi uliyopewa na mfalme inatakiwa kukufundisha hekima. Ukitaka kubaki na vipande vyako hamsini vya dhahabu, unatakiwa kuwa makini. Utavutiwa na vitu vingi na utapata ushauri mwingi sana. Utaambiwa fursa nyingi zinazodaiwa kutoa faida kubwa. Habari na hadithi kutoka kwenye sanduku langu la dhamana zinatakiwa kuwa onyo kwako. Kabla hujaruhusu pesa yako kutoka kwenye pochi hakikisha utaweza kuirudisha. Kama utahitaji ushauri zaidi unaweza kurudi nami nitafurahi kukupatia. '''Mwisho naomba usome nilichoandika. Chini ya mfuniko wa sanduku la dhamana. Maneno haya yana faida kwa mkopeshaji na mkopaji pia. Bora tahadhari kidogo kuliko majuto makubwa.
Show more...
4 years ago
31 minutes 28 seconds

Babananiii
ZIJUE SHERIA TANO ZA PESA
"Ukiambiwa uchague kati ya mfuko uliojaa dhahabu na mabamba ya vigae yaliyoandikwa maneno ya hekima na busara, utachagua nini?" Wasikilizaji walikuwa wamekaa jangwani wakiwa wamekusanyika kuzunguka moto. Walikuwa wakisikiliza kwa makini. Mwanga wa moto ulionyesha nyuso zao ambazo zilianza kuwa nyeusi sababu ya jua la jangwani. "Dhahabu, dhahabu," walijibu wote ishirini na saba kwa pamoja. Mzee Kalabab alitabasamu kama vile kuna siri anaifahamu yeye peke yake.
Show more...
4 years ago
28 minutes 44 seconds

Babananiii
MUNGU WA BAHATI (Sehemu Ya Pili)
Mungu wa bahati huwapendelea watu wa vitendo.
Show more...
4 years ago
16 minutes 2 seconds

Babananiii
KUTANA NA MUNGU WA BAHATI (Sehemu Ya Kwanza)
"Kama mtu ana bahati huwezi jua inapoishia. Mtupe ndani ya mto Efrati naye atatoka ameshikilia lulu." -- METHALI YA WABABILONI
Show more...
4 years ago
22 minutes 59 seconds

Babananiii
TIBA 7 ZA POCHI TUPU (4 - 7)
Hizi ndizo jumla ya tiba saba za pochi tupu. Kwahiyo tiba ya saba na ya mwisho ya kutibu pochi tupu ni kuwa mtu bora. Kujifunza na kujizoeza kupata maarifa zaidi, kupata ujuzi zaidi na kujiendesha maisha yako kwa heshima. Hapo unaweza kujiamini na utaweza kutimiza malengo yako.
Show more...
4 years ago
26 minutes 38 seconds

Babananiii
A literate African empowering the community through literacy programs.