All content for Babananiii is the property of Fabian C. Mwakabanje and is served directly from their servers
with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
A literate African empowering the community through literacy programs.
"Ukiambiwa uchague kati ya mfuko uliojaa dhahabu na mabamba ya vigae yaliyoandikwa maneno ya
hekima na busara, utachagua nini?"
Wasikilizaji walikuwa wamekaa jangwani wakiwa wamekusanyika kuzunguka moto. Walikuwa
wakisikiliza kwa makini. Mwanga wa moto ulionyesha nyuso zao ambazo zilianza kuwa nyeusi sababu ya
jua la jangwani.
"Dhahabu, dhahabu," walijibu wote ishirini na saba kwa pamoja.
Mzee Kalabab alitabasamu kama vile kuna siri anaifahamu yeye peke yake.
Babananiii
A literate African empowering the community through literacy programs.