Yapi mabadiliko ya kanuni hizi?, Vipi vitu muhimu vya kuzingatia?, Upi utaratibu wa Usajili wa laini za simu kwa watoto? Je mtu anapofarika utaratibu upi hufuatwa?
Haya na mengine mengi yameongelewa kwenye kipindi maalum kinacho angazia Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta Kuhusu Usajili wa Laini za Simu, 2023.
#ElimukwaUmma
#MawasilianoKwaMaendeleo
#tcrapodcast
Fahamu kuhusu kikoa cha taifa (.tz)
Get to know everything about Country Domain (.tz) and how you can leverage it for your business in Tanzania.
Host: Alpha Wawa
Guest: Simon Balthazar
Studio: TCRA Studios
#Domain
#Domainname
#DotTZ
#Tanzania
#TCRA
#KaribuTz
#Awareness