Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Business
Society & Culture
Sports
Health & Fitness
Technology
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
Loading...
0:00 / 0:00
Podjoint Logo
US
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts125/v4/b6/c8/35/b6c8356e-2071-dd92-88ff-3ab4832061ad/mza_16323540880368216436.jpg/600x600bb.jpg
Tanzania Embassy Beijing Podcast
Tanzania Embassy Beijing Podcast
21 episodes
1 week ago
Welcome to the Tanzania Embassy Beijing Podcast! Headed by His Excellency Mbelwa Kairuki, Ambassador of United Republic of Tanzania in People’s Republic of China which is also accredited to Socialist Republic of Vietnam, the Democratic People’s Republic of Korea and the Mongolian People's Republic. Tanzania Embassy Beijing Podcast will be sharing Information on Tanzania and China, doing business, trade and investments in Tanzania - China and much more.
Show more...
Business News
News
RSS
All content for Tanzania Embassy Beijing Podcast is the property of Tanzania Embassy Beijing Podcast and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Welcome to the Tanzania Embassy Beijing Podcast! Headed by His Excellency Mbelwa Kairuki, Ambassador of United Republic of Tanzania in People’s Republic of China which is also accredited to Socialist Republic of Vietnam, the Democratic People’s Republic of Korea and the Mongolian People's Republic. Tanzania Embassy Beijing Podcast will be sharing Information on Tanzania and China, doing business, trade and investments in Tanzania - China and much more.
Show more...
Business News
News
Episodes (20/21)
Tanzania Embassy Beijing Podcast
Taarifa Muhimu kwa Makampuni yanayouza Soybean katika soko la China
Taarifa Muhimu kwa Makampuni yanayouza Soybean katika soko la China
Show more...
2 years ago
3 minutes 53 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Taarifa kwa Watanzania wanaoishi China kuhusu tahadhari dhidi ya maambukizi ya UVIKO19
Taarifa kwa Watanzania wanaoishi China kuhusu tahadhari wanazopaswa kuchukua dhidi ya maambukizi ya UVIKO19
Show more...
2 years ago
5 minutes 27 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Taarifa kuhusu Bidhaa za Uvuvi kutoka Tanzania zinazohitajika kwa wingi katika soko la China
Taarifa kuhusu bidhaa za uvuvi (wild aquatic products) zinazohitajika kwa wingi katika soko la China na utaratibu wa kujisajili ili kuuza China kufuatia mkataba uliosainiwa wakati wa Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dk.Samia Suluhu Hassan nchini China
Show more...
2 years ago
10 minutes 8 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Taarifa ya Balozi Mbelwa Kairuki kwa Waandishi wa Habari kuhusu maandalizi ya ziara ya Rais
Taarifa ya Balozi Mbelwa Kairuki kwa Waandishi wa Habari kuhusu maandalizi ya ziara ya Kitaifa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan
Show more...
2 years ago
18 minutes 39 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Ujumbe Maalum kwa Wanafunzi wanaojiandaa kwenda Masomoni nchini China
Ujumbe Maalum kwa wanafunzi watanzania wanaojiandaa kwenda Masomoni nchini China
Show more...
2 years ago
9 minutes 21 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Taarifa kwa Umma Kuhusu Maadhimisho ya Wiki ya Ushirikiano wa Uchumi kati ya Tanzania na China
Taarifa kwa Umma Kuhusu Maadhimisho ya Wiki ya Ushirikiano wa Uchumi kati ya Tanzania na Jimbo la Zhejiang la nchini China. o la Zhejiang (CCPIT- Zhejiang Sub Council) Ndugu Chen Zongyao jijini Hangzhou. Zhejiang ni mojawapo ya Majimbo ya China yenye nguvu kubwa ya kiuchumi ikiwa na GDP ya Dola za Kimarekani Bilioni 849 na GDP per capital ya Dola za Kimarekani 14,907. Kutokana na utajiri wa Jimbo hilo, zipo fursa nyingi za biashara na uwekezaji.
Show more...
2 years ago
5 minutes 59 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Taarifa Maalum kwa Wanafunzi wa Tanzania wanaosoma Vyuo vikuu vya China
Taarifa kwa Wanafunzi wa Tanzania wanaosoma katika Vyuo Vikuu nchini China
Show more...
2 years ago
8 minutes 22 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Taarifa ya ufafanuzi kuhusu Usafiri wa kwenda China
Hivi karibuni Shirika letu la Ndege la Air Tanzania limetangaza kurejesha safari ya kwenda Guangzhou nchini China kuanzia tarehe 17 Julai 2022. Kufuatia tangazo hilo Ubalozi umepokea ujumbe kutoka kwa wananchi mbalimbali hususan wafanyabiashara wakitaka kujua kama hivi sasa China imefungua mipaka yake na kwamba watanzania wataweza sasa kuja China na Air Tanzania kwa ajili ya shughuli zao.
Show more...
2 years ago
9 minutes 34 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Ujumbe kwa wafanyabiasha na Waagizaji wa bidhaa kutoka China
Ujumbe kwa wafanyabiashara na waagizaji wa bidhaa kutoka China
Show more...
2 years ago
12 minutes 35 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Hotuba ya Balozi Mbelwa Kairuki katika Jukwaa la Imperial Springs International Forum
Balozi Kairuki aiomba Jumuiya ya kimataifa kushirikiana katika kulikabili janga la UVIKO19 badala ya kuyabagua mataifa ya Afrika yaliyoiwezesha dunia kufahamu aina mpya ya kirusi cha UVIKO19 (OMICRON). Rai ameitoa katika Mkutano wa Kimataifa wa Mwaka 2021 wa Imperial Springs uliofanyika jijini Guangzhou
Show more...
3 years ago
7 minutes 14 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Taarifa muhimu kuhusu Ufadhili wa Masomo (Scholarships) China
Taarifa muhimu kuhusu Ufadhili wa Masomo (Scholarships) China na changamoto kwa wanafunzi
Show more...
3 years ago
10 minutes 8 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Mwongozo wa utaratibu wa kuuza muhogo mkavu katika soko la China
Mwongozo wa utaratibu wa kuuza muhogo mkavu katika soko la China kwa Makampuni ya Tanzania yenye nia ya kuchangamkia fursa ya soko
Show more...
3 years ago
5 minutes 27 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Mkutano wa Balozi na Watanzania wanaoishi na kufanya biashara nchini China
Hotuba ya Balozi Mbelwa Kairuki katika Mkutano na Watanzania wanaofanya Biashara na Kuishi nchini China uliofanyika tarehe 8 Agosti 2021
Show more...
3 years ago
34 minutes 51 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Ujumbe kuhusu fursa ya kuuza maharage ya soya
Ujumbe wa kuhamasisha kilimo cha Soybeans nchini Tanzania kwa ajili ya soko la China
Show more...
3 years ago
6 minutes 23 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Ujumbe kwa Wafanyabiashara wa Madini
Taarifa kwa wadau wa Madini nchini kuhusu Mkutano wa Kimataifa wa Madini utakaofanyika jijini Tianjin tarehe 24 Oktoba 2021
Show more...
3 years ago
6 minutes 19 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Ubalozi wa Tanzania nchini China kuanzisha dawati la viwanda
Kwa kutambua uhitaji wa Msaada wa kununua Mashine na mitambo ya uzalishaji kwa ajili ya kuanzisha viwanda vidogo, vya kati na vikubwa- kuanzia tarehe 1 Septemba Ubalozi wa Tanzania Nchini China utaanzisha DAWATI LA VIWANDA. Dawati hilo litatoa huduma kwa watanzania watakaokuwa na nia ya kununua kutoka China mitambo ya kuzalisha bidhaa mbalimbali nchini.
Show more...
3 years ago
14 minutes 29 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Ujumbe muhimu kwa wanafunzi wanaofadhiliwa na China Scholarship Council
Taarifa muhimu kwa Watanzania wanaosoma nchini China kwa ufadhili wa China Scholarship Council. Taarifa hiyo inatoa mrejesho kuhusu baadhi ya masuala ambayo wanafunzi waliyawasilisha katika Mkutano Mkuu wa Wanafunzi wanaosoma China uliofanyika tarehe 22 Mei 2021
Show more...
3 years ago
8 minutes 53 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Ujumbe kwa wafanyabiashara wanaotaka kuuza bidhaa nje ya nchi
Mara nyingi Ubalozi unapotangaza fursa mpya ya soko- swali linaloulizwa na watu wengi ambao wanafikiria kuchangamkia fursa hiyo ni  "wananunua kwa bei gani au offer yao ni kiasi gani". Ni vizuri kuwa na ufahamu wa jumla kuhusu mwenendo wa bei ya soko la dunia la bidhaa hiyo. Hata hivyo ni muhimu zaidi kwa anayetaka kuuza bidhaa - awe ndio mtoa bei kwani mwenye mali ndio anajua gharama aliyoingia kuipata mali yake na ili asipate hasara anatakiwa kuuza kwa bei gani.Hivyo, unapojipanga kuuza bidhaa nje- ni muhumu ukajua bei itakayokupa faida ni ipi.
Show more...
3 years ago
7 minutes 6 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Fursa kwa wauzaji wa kahawa kutangaza bidhaa zao katika soko la China
Taarifa ya kwa Umma kuhusu hafla ya kuonja kahawa ya Tanzania "Coffee Cupping" itakayofanyika jijini Changsha tarehe 14-18 Juni 2021. Hafla hiyo itakayohudhuriwa na Makampuni yanayonunua kahawa katika soko la China itawezesha wauzaji wa kahawa ya Tanzania kutangaza bidhaa yao katika soko la China
Show more...
4 years ago
5 minutes 14 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Taarifa Muhimu kwa Watanzania Wanaosoma Vyuo Vikuu vya China
Taarifa kwa umma inayohusu watanzania wanaosoma vyuo vikuu vya China ambao hivi sasa wapo Nje ya China kutokana na kufungwa mipaka ya China
Show more...
4 years ago
16 minutes 38 seconds

Tanzania Embassy Beijing Podcast
Welcome to the Tanzania Embassy Beijing Podcast! Headed by His Excellency Mbelwa Kairuki, Ambassador of United Republic of Tanzania in People’s Republic of China which is also accredited to Socialist Republic of Vietnam, the Democratic People’s Republic of Korea and the Mongolian People's Republic. Tanzania Embassy Beijing Podcast will be sharing Information on Tanzania and China, doing business, trade and investments in Tanzania - China and much more.