
Kuna surprise kibao kwenye Ligi Kuu Tanzania bara ambazo tumeziona baada ya Game week mbili.
Matumizi ya washambuliaji wawili
Timu kuhamia back-four
Mawinga wenye speed
Singida Big Star
Aziz Ki vs Chama
Sikiliza episode hii kuyajua yote hayo kisha tupe maoni yako