
"Kwanini umchezeshe beki bora wa kulia duniani katika nafasi ya kiungo?" - Jürgen Klopp
Kumeibuka maswali mengi sana tangu kocha wa timu ya taifa ya England, Gareth Southgate alipomtumia beki wa kulia wa Liverpool Trent Alexander-Arnold kama kiungo katika mechi dhidi ya Andorra huku wengine wakijaribu kumfananisha beki huyo na Joshua Kimmich.
Clifford Sangai amekaa chini na Prosper Bartalomew kuchambua kwa kina utofauti uliopo baina ya wachezaji wawili, tukiangazia hasa ubora na mapungufu yao katika nafasi mbalimbali wanazocheza.
Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5
Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=09