
Bado unaamini Ligi Kuu Tanzania bara haina mbinu?
Clifford Sangai anaungana na Prosper Bartalomew kujadili mbinu za makocha mbalimbali na ufundi wa wachezaji katika Ligi Kuu ya NBC.
Je kocha wa Yanga ameshaonesha mfumo wake rasmi katika kikosi chake? Ipi ni nafasi inayomfaa Bwalya awapo uwanjani?
Hayo ni kati ya maswali tuliyojadili bila kusahau ubora wa Chirwa na Lusajo na mabadiliko ya kimfumo katika kikosi cha Namungo.
Bila shaka jina Abdul Sopu umewahi kulisikia katika story mbalimbali za michezo lakini unajua yeye ni Kiungo wa aina gani? Vipi kuhusu Ramadhan Chombo (Redondo)?
Sikiliza episode hii Prosper amechambua kwa kina mambo yote hayo.
Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5
Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=09