
Msimu mpya huu, unaona mabadiliko yoyote ndani ya kikosi cha Azam FC?
Swali hilo ndio limemfanya Clifford Sangai aketi chini pamoja na Prosper Bartalomew kujadili mambo mbalimbali hususani ya kimbinu katika kikosi cha Azam FC.
Tumeangazia namna timu inavyojilinda hadi inavyoshambulia huku tukilinganisha na msimu uliopita.
Hatujaangazia mechi za Ligi Kuu Tanzania bara tu bali michuano yote ambayo Azam FC imeshiriki.
Tufuate katika mtandao wa Instagram: https://instagram.com/sportscasttz?igshid=1s7jr9p0pao5
Twitter: https://twitter.com/SportsCastTz?s=09