
MacMuga ni Jina lilitumiwa na msanii wa Bongo Flava almaarufu kama King Kiba " Alikiba" kwenye wimbo uitwao MacMuga lengo la wimbo huo ulikua ni kutoa funzo kwa Vijana wanaotafuta maisha nje ya nchi, pindi wanapofanikiwa na kutojisahau kwa kuendekeza starehe na matumizi mabaya ya kile walichokichuma bila kuwekeza hasa nyumbani walikutoka.