
Katika episode hii ya pili, Mpanga the Road na Yuba the Bad Man wanaingia deep kwenye mada ya maisha ya kazi kwa vijana wa Kiafrika wanaoishi Taiwan. Je, ni rahisi kupata kazi? Changamoto zipi zinawakumba? Na vipi kuhusu uzoefu wao binafsi kazini – kuanzia viwandani hadi kwenye ofisi?