Home
Categories
EXPLORE
Music
History
Society & Culture
Education
Comedy
True Crime
Religion & Spirituality
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
Loading...
0:00 / 0:00
Podjoint Logo
UZ
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts124/v4/45/59/dc/4559dc3c-a5f6-7dbc-146c-c704552175ec/mza_7868313863777161594.jpg/600x600bb.jpg
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA
119 episodes
6 days ago
Maarifa ya ki-Mungu na namna ya kuliishi kusudi lako
Show more...
Religion & Spirituality
RSS
All content for SIRI ZA BIBLIA is the property of SIRI ZA BIBLIA and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Maarifa ya ki-Mungu na namna ya kuliishi kusudi lako
Show more...
Religion & Spirituality
https://d3t3ozftmdmh3i.cloudfront.net/production/podcast_uploaded_episode/12634477/12634477-1642410818844-75e6ecca512e2.jpg
ZABURI 1
SIRI ZA BIBLIA
1 minute 15 seconds
3 years ago
ZABURI 1

Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.
2 Bali sheria ya Bwana ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.
3 Naye atakuwa kama mti uliopandwa Kandokando ya vijito vya maji, Uzaao matunda yake kwa majira yake, Wala jani lake halinyauki; Na kila alitendalo litafanikiwa.
4 Sivyo walivyo wasio haki; Hao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5 Kwa hiyo wasio haki hawatasimama hukumuni, Wala wakosaji katika kusanyiko la wenye haki.
6 Kwa kuwa Bwana anaijua njia ya wenye haki, Bali njia ya wasio haki itapotea.

SIRI ZA BIBLIA
Maarifa ya ki-Mungu na namna ya kuliishi kusudi lako