Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
History
Fiction
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts113/v4/53/9a/01/539a019c-38a6-f5fe-ec0f-571cd3fdef84/mza_17012813432162037447.jpg/600x600bb.jpg
Maarifa Podcast na Tumsime
Tumsime
10 episodes
6 months ago
Kwenye kipindi hiki tunaenda kumulika umuhimu wa mawasalino kwa software engineer. Maarifa utakayo yapata yanaweza kutumika kwenye taaluma yeyeto. Utaweza kujifunza vifuatavyo:- 1. Mawasiliano ni nini? 2. Umuhiumu wa mawasiliani 3. Silaha kuu za software engineer kama vile ushawishi na kuuza wazo lake 4. Mawasiliano yanavoweka kuwa complex
Show more...
Technology
RSS
All content for Maarifa Podcast na Tumsime is the property of Tumsime and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Kwenye kipindi hiki tunaenda kumulika umuhimu wa mawasalino kwa software engineer. Maarifa utakayo yapata yanaweza kutumika kwenye taaluma yeyeto. Utaweza kujifunza vifuatavyo:- 1. Mawasiliano ni nini? 2. Umuhiumu wa mawasiliani 3. Silaha kuu za software engineer kama vile ushawishi na kuuza wazo lake 4. Mawasiliano yanavoweka kuwa complex
Show more...
Technology
Episodes (10/10)
Maarifa Podcast na Tumsime
SE1 EP09 - Jifunze kujenga ushawishi na kuuza wazo lako kwa Mafanikio (Mawasiliano)
Kwenye kipindi hiki tunaenda kumulika umuhimu wa mawasalino kwa software engineer. Maarifa utakayo yapata yanaweza kutumika kwenye taaluma yeyeto. Utaweza kujifunza vifuatavyo:- 1. Mawasiliano ni nini? 2. Umuhiumu wa mawasiliani 3. Silaha kuu za software engineer kama vile ushawishi na kuuza wazo lake 4. Mawasiliano yanavoweka kuwa complex
Show more...
1 year ago
10 minutes 24 seconds

Maarifa Podcast na Tumsime
SE1 EP08 - Tree Data Structure - Concepts
Kwenye kipindi cha leo tunaenda kuzungumzia maada ya Tree Data Structure kwenye Kompyuta. Ni moja ya Data Structure muhimu sana unazotakiwa kuzifamu kama unasoma computer science, unafanya kazi kama Software Engineer au unataka kujifunza kuhusu software development. Kwenye Kipindi cha leo umeweza kujifunza:- 1. Tree Data Structure. 2. Concepts zanazotumika kwenye Tree Data Structure.
Show more...
2 years ago
9 minutes 33 seconds

Maarifa Podcast na Tumsime
SE1 EP07 - Data structures - Tree Intro
Kwenye kipindi cha leo nitagusia kuhusu introduction ya Tree Data Structure kwenye kompyuta.
Show more...
2 years ago
4 minutes 19 seconds

Maarifa Podcast na Tumsime
SE1 EP06 - Graph Data Structure Kwenye Kompyuta | Data Structure
Kwenye kipindi cha leo tunaenda kuzungumzia maada ya Graph Data Structure kwenye Kompyuta. Ni moja ya Data Structure muhimu sana unazotakiwa kuzifamu kama unasoma computer science au unafanya kazi kama Software Engineer. Kwenye Kipindi cha leo umeweza kujifunza:- 1. Graph data structure na kuelewa kuhusu vertex na edge. 2. Sifa za graph data structure 3. Aina za graph kama vile undirected na directed 4. Jinsi ya kutengeneza graph kwenye program au system kutumia Adjaceny matrix and Adjacency list. 5. Operation unawezoza kusifanya kwenye graph
Show more...
2 years ago
13 minutes 5 seconds

Maarifa Podcast na Tumsime
SE1 EP05 - Queue Data Structure Kwenye Kompyuta | Data Structure
Kwenye kipindi cha leo tunaenda kuzungumzia maada ya Queue Data Structure kwenye Kompyuta. Ni moja ya Data Structure muhimu sana unazotakiwa kuzifamu kama unasoma computer science au unafanya kazi kama Software Engineer. Kwenye Kipindi cha leo umeweza kujifunza:- 1. Queue data structure. 2. Sifa za queue data structure 3. Operations unaweza kuzifanya kwenye queue DT kama vile enqueue, dequeue, peek 4. Matumizi ya queue DT 5. Mifano mbali mbali
Show more...
2 years ago
11 minutes 1 second

Maarifa Podcast na Tumsime
SE1 EP04 - Stack Data Structure Kwenye Kompyuta | Data Structure
Kwenye kipindi cha leo tunaenda kuzungumzia maada ya Stack Data Structure kwenye Kompyuta. Ni moja ya Data Structure muhimu sana unazotakiwa kuzifamu kama unasoma computer science au unafanya kazi kama Software Engineer. Kwenye Kipindi cha leo umeweza kujifunza:- 1. Stack data structure. 2. History fupi ya stack data structure. 4. Vitu unaweza kufanya kwenye stack kama push, pop. 5. Mifano ya sehemu stack data structure inapotumika.
Show more...
2 years ago
12 minutes 19 seconds

Maarifa Podcast na Tumsime
SE1 EP03 - Linked List Data Structure Kwenye Kompyuta | Data Structure
Kwenye kipindi cha leo tunaenda kuzungumzia maada ya Linked List Data Structure kwenye Kompyuta. Ni moja ya Data Structure muhimu sana unazotakiwa kuzifamu kama unasoma computer science au unafanya kazi kama Software Engineer. Kwenye Kipindi cha leo utaweza kujifunza:- 1. Linked list ni data structure gani. 2. Sifa za Linked list kulinganisha na Array. 3. Aina za Linked list (Singly, Doubly, Circular). 4. Hatua za kutengeneza linked list. 5. Mifano ya maisha ya kula siku inapotumika. Kipindi kinachofuta nitazungumzia kuhusu Stack.
Show more...
2 years ago
15 minutes 2 seconds

Maarifa Podcast na Tumsime
SE1 EP02 - Array Data Structure Kwenye Kompyuta | Data Structure
Kwenye kipindi cha leo tunaenda kuzungumzia kuhusu Array Data Structure kwenye Kompyuta. Utaweza kufahamu nini maana ya Array, umuhimu wa kufahamu Array kama Softare Engineer, Sifa/faida za kutumia Array, Wakati gani Array inakua sio cha guo zuri wakati wa kuandika programu. Pia utaweza kujifunza kuhusu programming languages na mifano. Utaweza kufahamu vitu vya kuzingatia wakati wa interview na unapotumia Array. Kipindi kinachofuta nitazungumzia kuhusu Linked List.
Show more...
2 years ago
19 minutes 10 seconds

Maarifa Podcast na Tumsime
SE1 EP01 - Jinsi Ya Kuzipangilia Data Kwenye Kompyuta | Data Structure
Kwenye kipindi cha leo, utajifunza kuhusu kupangilia data kwenye kompyuta (Data Structure), umuhimu wake na aina za data structure zinazotumika sana. Pia utaweza kujifunza kuhusu Memory kwa ufupi.
Show more...
2 years ago
14 minutes 41 seconds

Maarifa Podcast na Tumsime
Karibu Kwenye MaarifaPodcast na Tumsime.
Karibu Kwenye MaarifaPodcasts na Tumsime ambapo utaweza kujunza maada mbalimbali kwenye sayansi ya kompyuta.
Show more...
2 years ago
49 seconds

Maarifa Podcast na Tumsime
Kwenye kipindi hiki tunaenda kumulika umuhimu wa mawasalino kwa software engineer. Maarifa utakayo yapata yanaweza kutumika kwenye taaluma yeyeto. Utaweza kujifunza vifuatavyo:- 1. Mawasiliano ni nini? 2. Umuhiumu wa mawasiliani 3. Silaha kuu za software engineer kama vile ushawishi na kuuza wazo lake 4. Mawasiliano yanavoweka kuwa complex