
Kuna nguvu kubwa kwenye kusamehe, na kusaau na Mungu anasema ili yeye atusamehe lazima na sisi tuwa samehe wale walitukosea. Mtumishi wa Mungu kaka Erick anatupa insights ya nguvu ya msamaha kuna nini nyuma ya kuomba au kutoa msamaha kwa mtu aliyekukosea.