Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
News
Sports
TV & Film
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts126/v4/1d/57/81/1d578167-1cb3-fd3f-c67a-c7b34ef3cc1d/mza_13975209208286552282.jpg/600x600bb.jpg
LENZI Podcast with Michael Kamukulu
Michael Kamukulu
23 episodes
5 days ago
Jifunze kupitia mijadala na maelezo yanayohusu mada mbalimbali ili upate ufahamu juu mienendo ya sasa katika nyanja na tasnia tofauti. Pata uchambuzi wa takwimu rasmi katika kuleta uhalisia wa mada tunazozijadili. Uwe ni mmiliki wa biashara unayetaka kuboresha biashara yako ama kufungua mradi mpya, au mtu binafsi unayetaka kuongeza ufanisi wako, podcast yetu ina kitu kwa ajili yako. SIKILIZA ILI UWEZE KUJIFUNZA
Show more...
Self-Improvement
Education
RSS
All content for LENZI Podcast with Michael Kamukulu is the property of Michael Kamukulu and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Jifunze kupitia mijadala na maelezo yanayohusu mada mbalimbali ili upate ufahamu juu mienendo ya sasa katika nyanja na tasnia tofauti. Pata uchambuzi wa takwimu rasmi katika kuleta uhalisia wa mada tunazozijadili. Uwe ni mmiliki wa biashara unayetaka kuboresha biashara yako ama kufungua mradi mpya, au mtu binafsi unayetaka kuongeza ufanisi wako, podcast yetu ina kitu kwa ajili yako. SIKILIZA ILI UWEZE KUJIFUNZA
Show more...
Self-Improvement
Education
https://d3t3ozftmdmh3i.cloudfront.net/staging/podcast_uploaded_nologo/37663812/37663812-1696569596794-1d116ff4a1c74.jpg
S1E18 MTUMIAJI WA SIMU: Fahamu njia tano (5) za kuongeza usalama wako mtandaoni | LENZI | Michael Kamukulu
LENZI Podcast with Michael Kamukulu
6 minutes 45 seconds
2 years ago
S1E18 MTUMIAJI WA SIMU: Fahamu njia tano (5) za kuongeza usalama wako mtandaoni | LENZI | Michael Kamukulu

Katika zama hizi za kidijitali tulizonazo, kulinda usalama wa taarifa zako kwenye mitandao ni muhimu kuliko ilivyokuwa hapo awali. Jiunge nasi katika video hii tunapoongelea njia tano (5) muhimu za kuimarisha usalama wako mtandaoni. Jifunze jinsi ya kulinda namba yako ya simu, kuweka kinga imara kwenye akaunti zako za baruapepe, kuhifadhi alama za vidole vyako, kujilinda dhidi ya tishio la "deepfake," na kuweka sauti yako salama kutokana na matumizi mabaya kwa njia ya uigizaji wa AI. Epuka vitisho vya kimtandao na kufurahia mtandao usalama zaidi Usisahau kubofya kitufe cha like, kusajili, na kugonga kengele ya taarifa ili kupata taarifa nyingine kama hizi na kuongeza mbinu za usalama wa mtandao! #UsalamaMtandaoni #UsalamaWaMtandaoni #KulindaData #KulindaFaragha #UsalamaWaInterneti #UhamasishajiWaMtandao #UsalamaWaTeknolojia Ungana na Michael Kamukulu ili ujifunze zaidi kupitia LENZI  @lenzipodcast  #mpesa #usalama #cybercrime #cybersecurity #email #iphone #iphone15 #mafanikio #biashara #thamani #hela #tanzanianyoutuber #tanzania #kenya #rwanda #timizamalengoyako #lenzi * * * Time Stamps: 00:00 Uhalisia kuhusu usalama mtandaoni 01:04 1. Namba ya Simu 01:37 2. Email / Baruapepe 02:50 3. Fingerprint / Alama za vidole 03:35 4. Sura 04:50 5. Sauti

LENZI Podcast with Michael Kamukulu
Jifunze kupitia mijadala na maelezo yanayohusu mada mbalimbali ili upate ufahamu juu mienendo ya sasa katika nyanja na tasnia tofauti. Pata uchambuzi wa takwimu rasmi katika kuleta uhalisia wa mada tunazozijadili. Uwe ni mmiliki wa biashara unayetaka kuboresha biashara yako ama kufungua mradi mpya, au mtu binafsi unayetaka kuongeza ufanisi wako, podcast yetu ina kitu kwa ajili yako. SIKILIZA ILI UWEZE KUJIFUNZA