Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
News
Sports
TV & Film
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts126/v4/1d/57/81/1d578167-1cb3-fd3f-c67a-c7b34ef3cc1d/mza_13975209208286552282.jpg/600x600bb.jpg
LENZI Podcast with Michael Kamukulu
Michael Kamukulu
23 episodes
5 days ago
Jifunze kupitia mijadala na maelezo yanayohusu mada mbalimbali ili upate ufahamu juu mienendo ya sasa katika nyanja na tasnia tofauti. Pata uchambuzi wa takwimu rasmi katika kuleta uhalisia wa mada tunazozijadili. Uwe ni mmiliki wa biashara unayetaka kuboresha biashara yako ama kufungua mradi mpya, au mtu binafsi unayetaka kuongeza ufanisi wako, podcast yetu ina kitu kwa ajili yako. SIKILIZA ILI UWEZE KUJIFUNZA
Show more...
Self-Improvement
Education
RSS
All content for LENZI Podcast with Michael Kamukulu is the property of Michael Kamukulu and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Jifunze kupitia mijadala na maelezo yanayohusu mada mbalimbali ili upate ufahamu juu mienendo ya sasa katika nyanja na tasnia tofauti. Pata uchambuzi wa takwimu rasmi katika kuleta uhalisia wa mada tunazozijadili. Uwe ni mmiliki wa biashara unayetaka kuboresha biashara yako ama kufungua mradi mpya, au mtu binafsi unayetaka kuongeza ufanisi wako, podcast yetu ina kitu kwa ajili yako. SIKILIZA ILI UWEZE KUJIFUNZA
Show more...
Self-Improvement
Education
https://d3t3ozftmdmh3i.cloudfront.net/staging/podcast_uploaded_episode/37663812/37663812-1692603647099-67a706e70ef82.jpg
S1E12 Kwa nini hatuwezi kulipa madeni?? (2/3 ya watanzania hawawezi kumudu gharama za maisha)
LENZI Podcast with Michael Kamukulu
13 minutes 31 seconds
2 years ago
S1E12 Kwa nini hatuwezi kulipa madeni?? (2/3 ya watanzania hawawezi kumudu gharama za maisha)

Ripoti ya  @finscope  ya 2023 imeongelea mambo mengi ikiwa ni pamoja na sababu zinazowafanya Watanzania kukopa fedha. Katika kuichambua zaidi hii ripoti na kuunganisha taarifa nyingine (nje ya ripoti) tumegundua kuwa watu wengi wanaamini kwamba kumekuwepo na u]kukosekana kwa uaminifu baina yta watu hususani kwenye masuala ya kifedha ambapo watu walio wengi wanakopa na wanakuwa hawalipi madeni yao. Uaminifu sio sababu PEKEE inayopelekea watu kutolipa madeni yao, kuna sababu nyingine kama vile kutokuwa na ELIMU sahihi kuhusu masuala ya kifedha, ugumu wa maisha (kipato kidogo) - jambo ambalo linasababisha watu kukosa njia ya kuzalisha (kutengengeza) kipato cha kutosha na kmwisho wa siku kuamua kuweka kipaumbele kwenye kuishi (survive) na sio kulipa madeni yao. Lakini kwa upande mwingine, kukopa kumegeuka kuwa mtindo wa maisha kwa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakichukulia kukopa kama njia rahisi ya kutatua matatizo hata yale ambayo yasingehitaji mkopo endapo wangefikira kwa umakini madhara ambayo yangejitokeza endapo wangechukua mikopo katika hali walizonazo za kiuchumi. Madhara ya mikopo yamekuwa ni makubwa yakijumuisha kuvunjiuka kwa urafiki, familia na hata baadhi ya ndoa. Ungana na Michael Kamukulu ujifunze zaidi kwenye LENZI  @lenzipodcast ​

LENZI Podcast with Michael Kamukulu
Jifunze kupitia mijadala na maelezo yanayohusu mada mbalimbali ili upate ufahamu juu mienendo ya sasa katika nyanja na tasnia tofauti. Pata uchambuzi wa takwimu rasmi katika kuleta uhalisia wa mada tunazozijadili. Uwe ni mmiliki wa biashara unayetaka kuboresha biashara yako ama kufungua mradi mpya, au mtu binafsi unayetaka kuongeza ufanisi wako, podcast yetu ina kitu kwa ajili yako. SIKILIZA ILI UWEZE KUJIFUNZA