All content for HADITHI ZANGU is the property of linet shavu and is served directly from their servers
with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Natoa masimulizi ya hadithi nilizozitunga Mimi mwenyewe. Hadithi zangu zina ubunifu wa hali ya juu na zinaelimisha, kuburudisha, kuonya, kusisimua n.k
Ni hadithi inayozungumzia binti kwa jina la Caroline ambaye alitokea kumpenda kijana Kenneth lakini kutokana na mila na desturi zetu binti kumuanza kijana wa kiume humfanya binti kuonekana hana nidhamu au wengine huweza sema ni Malaya. Hivyo binti alisononeka na kupata ugonjwa wa ajabu na ambao hakuna aliyeweza kuuelezea......