Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
History
Health & Fitness
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts221/v4/6c/bf/54/6cbf5495-a8ed-d84b-9ebf-d5d3af04e72c/mza_14241915264083627507.jpg/600x600bb.jpg
Biblia Inasema Usiogope
Pastor Msafiri
31 episodes
3 days ago
Mafundisho mbalimbali ya Biblia yaliyobeba ujumbe kwamba USIOGOPE. Namna pekee ya kukua katika imani na kukua katika uhusiano wetu na Mungu ni kuweka woga mbali nasi. Tubaki majasiri tukipiga mbio kuumaliza mwendo tuliowekewa na kuufikia mwisho mwema, tukibarikiwa na kufanyika baraka kwa wengine.
Show more...
Religion & Spirituality
RSS
All content for Biblia Inasema Usiogope is the property of Pastor Msafiri and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Mafundisho mbalimbali ya Biblia yaliyobeba ujumbe kwamba USIOGOPE. Namna pekee ya kukua katika imani na kukua katika uhusiano wetu na Mungu ni kuweka woga mbali nasi. Tubaki majasiri tukipiga mbio kuumaliza mwendo tuliowekewa na kuufikia mwisho mwema, tukibarikiwa na kufanyika baraka kwa wengine.
Show more...
Religion & Spirituality
https://d3t3ozftmdmh3i.cloudfront.net/production/podcast_uploaded_episode/3201675/3201675-1640907292187-d80d488844b45.jpg
Usiogope Uchawi part 3
Biblia Inasema Usiogope
25 minutes 24 seconds
3 years ago
Usiogope Uchawi part 3

Tumepewa mamlaka ya kukanyaga simba na nyoka, naam, mwanasimba na joka tunapaswa kuwaseta kwa miguu. Ukifuatilia hili "joka" ambalo Mkristo umepewa mamlaka ya kulikanyaga utafahamu kwamba ni lile joka, yaani Shetani au Ibilisi kwa jina. Kwa mamlaka uliyonayo siyo tu kwa vibaraka wa shetani bali hata kwa shetani mwenyewe. Ndiyo maana maandiko yanasema mpingeni Shetani naye atawakimbia. Kama baba yao anawakimbia itakuwaje kwa wanae, yaani wachawi!? Kama umeokoka na unajua mamlaka na nguvu ulizonazo, wewe ni tishio kwa nguvu za giza. Sikiliza somo hili fupi ukawafundishe na wengine.


Biblia Inasema Usiogope
Mafundisho mbalimbali ya Biblia yaliyobeba ujumbe kwamba USIOGOPE. Namna pekee ya kukua katika imani na kukua katika uhusiano wetu na Mungu ni kuweka woga mbali nasi. Tubaki majasiri tukipiga mbio kuumaliza mwendo tuliowekewa na kuufikia mwisho mwema, tukibarikiwa na kufanyika baraka kwa wengine.