
Sasa hivi kuna vita vinapiganwa kati ya Urusi na Ukraine, taifa dhidi ya taifa, na bado chokochoko za vita kusambaa ni kubwa. Huku Afrika vita vya wenyewe kwa wenyewe zimezoeleka. Lakini bado tunafahamu kwamba majaribio ya silaha kali na ripoti za gunduzi mbalimbali za namna za kupigana vita na kuua mamilioni ya watu kwa muda mfupi zinavyotisha wengi. Kuhusu siku hizi za mwisho, Yesu alisema "msiogope mtakaposikia matetesi ya vita". Karibu tujifunze...