Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Business
Society & Culture
History
Sports
Health & Fitness
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts221/v4/6c/bf/54/6cbf5495-a8ed-d84b-9ebf-d5d3af04e72c/mza_14241915264083627507.jpg/600x600bb.jpg
Biblia Inasema Usiogope
Pastor Msafiri
31 episodes
4 days ago
Mafundisho mbalimbali ya Biblia yaliyobeba ujumbe kwamba USIOGOPE. Namna pekee ya kukua katika imani na kukua katika uhusiano wetu na Mungu ni kuweka woga mbali nasi. Tubaki majasiri tukipiga mbio kuumaliza mwendo tuliowekewa na kuufikia mwisho mwema, tukibarikiwa na kufanyika baraka kwa wengine.
Show more...
Religion & Spirituality
RSS
All content for Biblia Inasema Usiogope is the property of Pastor Msafiri and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Mafundisho mbalimbali ya Biblia yaliyobeba ujumbe kwamba USIOGOPE. Namna pekee ya kukua katika imani na kukua katika uhusiano wetu na Mungu ni kuweka woga mbali nasi. Tubaki majasiri tukipiga mbio kuumaliza mwendo tuliowekewa na kuufikia mwisho mwema, tukibarikiwa na kufanyika baraka kwa wengine.
Show more...
Religion & Spirituality
https://d3t3ozftmdmh3i.cloudfront.net/production/podcast_uploaded_episode/3201675/3201675-1674733335876-26a92be547af3.jpg
Usiogope Tetesi za Vita
Biblia Inasema Usiogope
17 minutes 46 seconds
2 years ago
Usiogope Tetesi za Vita

Sasa hivi kuna vita vinapiganwa kati ya Urusi na Ukraine, taifa dhidi ya taifa, na bado chokochoko za vita kusambaa ni kubwa. Huku Afrika vita vya wenyewe kwa wenyewe zimezoeleka. Lakini bado tunafahamu kwamba majaribio ya silaha kali na ripoti za gunduzi mbalimbali za namna za kupigana vita na kuua mamilioni ya watu kwa muda mfupi zinavyotisha wengi. Kuhusu siku hizi za mwisho, Yesu alisema "msiogope mtakaposikia matetesi ya vita". Karibu tujifunze...

Biblia Inasema Usiogope
Mafundisho mbalimbali ya Biblia yaliyobeba ujumbe kwamba USIOGOPE. Namna pekee ya kukua katika imani na kukua katika uhusiano wetu na Mungu ni kuweka woga mbali nasi. Tubaki majasiri tukipiga mbio kuumaliza mwendo tuliowekewa na kuufikia mwisho mwema, tukibarikiwa na kufanyika baraka kwa wengine.