Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
Health & Fitness
Technology
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Podjoint Logo
US
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts221/v4/6c/bf/54/6cbf5495-a8ed-d84b-9ebf-d5d3af04e72c/mza_14241915264083627507.jpg/600x600bb.jpg
Biblia Inasema Usiogope
Pastor Msafiri
31 episodes
4 days ago
Mafundisho mbalimbali ya Biblia yaliyobeba ujumbe kwamba USIOGOPE. Namna pekee ya kukua katika imani na kukua katika uhusiano wetu na Mungu ni kuweka woga mbali nasi. Tubaki majasiri tukipiga mbio kuumaliza mwendo tuliowekewa na kuufikia mwisho mwema, tukibarikiwa na kufanyika baraka kwa wengine.
Show more...
Religion & Spirituality
RSS
All content for Biblia Inasema Usiogope is the property of Pastor Msafiri and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Mafundisho mbalimbali ya Biblia yaliyobeba ujumbe kwamba USIOGOPE. Namna pekee ya kukua katika imani na kukua katika uhusiano wetu na Mungu ni kuweka woga mbali nasi. Tubaki majasiri tukipiga mbio kuumaliza mwendo tuliowekewa na kuufikia mwisho mwema, tukibarikiwa na kufanyika baraka kwa wengine.
Show more...
Religion & Spirituality
https://d3t3ozftmdmh3i.cloudfront.net/production/podcast_uploaded_episode/3201675/3201675-1645622729605-df4476c4fc738.jpg
Huna Hatia
Biblia Inasema Usiogope
15 minutes 14 seconds
3 years ago
Huna Hatia

Katika maisha ya imani Shetani hupigana vita ili kututoa katika ujasiri tulionao katika Kristo Yesu. Na adui hufanikiwa katika hili pale anapoweza kutujaza dhamiri ya hatia ndani yetu kwamba sisi ni wakosa na hatuna haki mbele za Mungu. Wakristo wengi wanaishi katika dhamiri ya hatia au wataingia kwenye huo mtego hivi karibuni kwa sababu wameshapelekwa kwenye kona ya kuamini kwamba haki yao inatokana na matendo yao mazuri, yaani hawajavunja sheria au torati. Haki yetu haitokani na sheria bali imani na tena tunalo ondoleo la dhambi. Hati iliyokuwa na mashtaka dhidi yako iligongomewa msalabani pale alipokufa Mwokozi wa ulimwengu. Huna hatia! Sikiliza somo hili.


Biblia Inasema Usiogope
Mafundisho mbalimbali ya Biblia yaliyobeba ujumbe kwamba USIOGOPE. Namna pekee ya kukua katika imani na kukua katika uhusiano wetu na Mungu ni kuweka woga mbali nasi. Tubaki majasiri tukipiga mbio kuumaliza mwendo tuliowekewa na kuufikia mwisho mwema, tukibarikiwa na kufanyika baraka kwa wengine.