Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
Health & Fitness
Technology
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
Loading...
0:00 / 0:00
Podjoint Logo
US
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts123/v4/2d/fb/c4/2dfbc471-71de-5844-099e-1db96e724610/mza_2710417907894898212.jpg/600x600bb.jpg
Maisha Talk
Dede Issangya
8 episodes
5 days ago
Inahusu maongezi kuhusu maisha kama maisha, kwenye maisha kuna vitu vingi kama mapenzi, uonevu kwa wanawake, watoto na wanaume pia, biashara, siasa, etc.....
Show more...
Relationships
Society & Culture
RSS
All content for Maisha Talk is the property of Dede Issangya and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Inahusu maongezi kuhusu maisha kama maisha, kwenye maisha kuna vitu vingi kama mapenzi, uonevu kwa wanawake, watoto na wanaume pia, biashara, siasa, etc.....
Show more...
Relationships
Society & Culture
Episodes (8/8)
Maisha Talk
Different kind of relationship/ aina mbalimbali za mahusiano
Choose your relationship wisely, how you want your relationship to be or perceived with others, know exactly what you want. Jua unataka nini katika mahusiano yako
Show more...
2 years ago
17 minutes 30 seconds

Maisha Talk
Why do people break up?/kwanini watu wanaachana??
Kuna sababu mbali mbali za mahusiano kama vile dharau, uaminifu nakadhalika
Show more...
2 years ago
10 minutes 36 seconds

Maisha Talk
Dalili za kufahamu mpenzi wako anakusaliti
Katika mapenzi usaliti upo na nijambo ambalo linaumiza sana sasa basi kama unamfaham mpenzi wako vyema basi utaweza kufaham kama amebadilika, sikiliza episode hii mpaka mwisho upate kujua dalili za mpenzi ambae anakusaliti
Show more...
2 years ago
5 minutes 15 seconds

Maisha Talk
Uaminifu katika mahusiano ni jambo muhimu sana
Katika mahusiano ni vyema kuaminiana na mahusiano ni ya watu wawili akija watatu jua huyo ni kidudu mtu na ataja waharibia mahusiano yenu bure tu
Show more...
2 years ago
10 minutes 31 seconds

Maisha Talk
Wanawake tuache tabia za kutegemea wanaume kwa kila jambo
Wanawake wengi tuko na tabia ya kutegemea wanaume kwa kila jambo lakini pia tunapaswa kujielewa na kujifaham vizur na tuchague ni maisha ya aina gani unataka kuyaishi na tujishughulishe ili kupata vile tunavyovihitaji, the best person to depend on is yourself and you will never be disappointed ever.
Show more...
2 years ago
12 minutes 47 seconds

Maisha Talk
Kusoma alama/signs katika mahusiano.
Siku zote watu huwa tupo kwenye mahusiano lakin mahusino hayo huenda yalishaosha kitambo ila tu bado hatuelewi kuwa yameshaisha au bado mtu unalazimisha kuwa kwenye mahusiano ambayo yameshafikia ukingon so e end up with a broken heart every now and then and there's no one to console you because you're the one who chose to suffocate yourself instead of moving on.
Show more...
4 years ago
19 minutes 27 seconds

Maisha Talk
Aina za wanawake ambao wapo katika ndoa na wanaume pia ambao wapo katika ndoa
Kuna wanaume ambao wanasaliti wake zao na hawajui kwanini wanasaliti wake zao, wanawake wanao jiamini kupitiliza mpaka wanafanya waume zao wawasaliti na mengineyo mengi. Wanaume na wanawake ambao hawajiamini, na ambao hawaeleweki kama wanajiamini au la.
Show more...
5 years ago
10 minutes

Maisha Talk
Wanaume wasitese familia zao kwasababu ya starehe zao za aina yoyote ile.
Maisha ya nyumbani ambayo wanaume wanafanya starehe lakini mwisho wa siku wanatesa familia zao, wanaume mkimaliza kufanya starehe zenu mkirudi nyumbani usitese familia yako fikiria familia yako sana, amani upendo wako kwa familia yako udumishe kiasi kwamba watoto wako wasiwe wanatamani maisha ya watoto wengine. Wanawake tupambania furaha ya watoto wenuna cha zaidi sana usiwe unajisahau wewe mwenyewe kwaiyo pambania furaha yako mwenyewe kulikoni kupambania ndoa ambayo haina furaha kabisa, you deserve more than that.
Show more...
5 years ago
14 minutes 32 seconds

Maisha Talk
Inahusu maongezi kuhusu maisha kama maisha, kwenye maisha kuna vitu vingi kama mapenzi, uonevu kwa wanawake, watoto na wanaume pia, biashara, siasa, etc.....