Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Business
Society & Culture
Health & Fitness
Sports
Technology
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Podjoint Logo
US
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts211/v4/15/50/84/15508451-ddf1-7c6e-81bc-357504caaad3/mza_6770635474676433645.jpg/600x600bb.jpg
Chahali Podcast
Evarist Chahali
106 episodes
2 days ago
Maongezi ya Chahali
Show more...
News
RSS
All content for Chahali Podcast is the property of Evarist Chahali and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Maongezi ya Chahali
Show more...
News
Episodes (20/106)
Chahali Podcast
Ripoti ya Maandamano: Yaliyojiri 30/10/25

Ripoti ya maandamano yaliyojiri tarehe 30/10/2025

Show more...
2 days ago
11 minutes

Chahali Podcast
Ripoti ya Maandamano: Yaliyojiri 29/10/25

Ripoti ya maandamano yanayoendelea nchini Tanzania. Hii ni ripoti kuhusu yaliyojiri 29/10/2025

Show more...
2 days ago
13 minutes 11 seconds

Chahali Podcast
Habari Njema Kwa Tundu Lissu

Habari Njema kwa Tundu Lissu

Show more...
1 month ago
9 minutes 59 seconds

Chahali Podcast
Polepole Afichua SIRI Nzito

Balozi Humprey Polepole Afichua SIRI Nzito

Show more...
1 month ago
10 minutes 44 seconds

Chahali Podcast
Masista Kampeni Za CCM Wazua Mtafaruku Katoliki

Kitendo cha baadhi ya masista wa kanisa katoliki kuonekanakwenye kampeni za CCM wakiwa wamembeba bendera za chama hicho pamoja na picha za mgombea wake wa urais wa chama hicho Samia Suluhu Hassan, kimepelekea mtafaruku mkuu ndani ya Kanisa Katoliki

Show more...
1 month ago
10 minutes

Chahali Podcast
Lissu Akataa Ofa ya Serikali Ahamie Ughaibuni Kesi Ifutwe

Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA, Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu amekataa ofa ya serikali kwamba akubali kwenda kuishi uhamishoni kama sharti la kumfutia kesi ya uhaini waliyombambikia.

Show more...
1 month ago
12 minutes 24 seconds

Chahali Podcast
Maafisa Usalama Wanne Wa TANZANIA Wakamatwa Marekani, Walienda Kudhuru Wakosoaji

Maafisa Usalama Wanne Wa TANZANIA Wakamatwa Marekani, Walienda Kudhuru Wakosoaji wa Serikali na Wanaokisapoti Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwenyekiti wake Mheshimiwa Tundu Lissu

Show more...
1 month ago
11 minutes

Chahali Podcast
Kozi ya Awali ya AI
  1. Maana ya AI
  2. Nyenzo mbalimbali maarufu za AI
  3. ChatGPT
  4. Jinsi ya kujiunga na ChatGPT
  5. Mifano ya matumizi ya ChatGPT
  6. Maswali na majibu
Show more...
4 months ago
36 minutes 24 seconds

Chahali Podcast
S03 E01: Mkakati Mkubwa Kumkwamisha Lissu Kuwania Urais Katika Uchaguzi Mkuu 2025

Makala hii exclusive inaeleza kuhusu mpango kabambe unaoendelea kuhakikisha Mwenyekiti mpya wa Chadema, Mheshimiwa Tundu Lissu hafanikiwa kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Awali Mheshimiwa Lissu alishatangaza nia ya kuwania urais, japo hajatamka tena baada ya kushinda uenyekiti wa taifa wa chama hicho kikuu cha upinzani.

Otherwise, albamu ya #Jasusi iitwayo #JasusiTheAlbum Volume One sasa inapatikana Spotify, Apple Music, Amazon Music, YouTube Music, TikTok, Instagram, Facebook, Snapchat,nk. Kwa maelezo zaidi, tembelea https://jasusi.com Pia, usisubiri hadi utekwe na #WatuWasiojulikana ndio ukumbuke kwamba Jasusi aliandika kitabu maalum cha Mwongozo wa Hatua za Kuchukua Pindi Ukibaini Kuwa Maisha Yako Yapo Hatarini (au hatua za tahadhari hata kama maisha yako hayapo hatarini). Pata kopi yako hapa https://jasusi.com/mwongozo

Show more...
9 months ago
9 minutes 59 seconds

Chahali Podcast
S02E04: Maongezi na Mtangazaji Maarufu wa Wasafi Media Charles William

S02E04: Maongezi na Mtangazaji Maarufu wa Wasafi Media Charles William


Charles anajibu maswali haya

1. Charles William ni nani

2. Nini kilikuvutia kuingia kwenye fani ya habari

3. Changamoto gani ulizokumbana nazo katika safari yako hadi kufikia ulipo, na zipi zilizopo sasa

4. Wewe sio tu ni mmoja ya watangazaji maarufu Tanzania bali ni mmoja wa watu maarufu Tanzania. Je zipi ni faida za umaarufu huo. Na Je kuna hasara za umaarufu huo kama yes, ni zipi?

5. Mwisho, kama kijana na role model kwa vijana wenzio, una ushauri gani kwao hususan kwa wale wenye ndoto za kufikia sehemu kama uliyopo sasa.


TANGAZO: Pata kopi za vitabu "Ujasusi Ni Nini na Je Majasusi Wanafanya Kazi Gani Hasa (Sh 45,000/=) na "Afisa Usalama wa Taifa ni Mtu Gani na Anafanya Nini?" (Sh 20,000/=). Free delivery Dar, mikoani delivery sh 5,000/= kwa kila kitabu. M-Pesa 0767340975 jina Anna


Kwa walio nje ya Tanzania, vitabu vinapatikana hapa https://go.chahali.com/spybooks

Show more...
1 year ago
33 minutes 44 seconds

Chahali Podcast
S02E03: Uchambuzi Kuhusu Kuuawa Haniyeh Huko Irani, Vurugu Kubwa Uingereza

S02E03: Uchambuzi kuhusu kuuawa kwa Haniyeh huko Irani, na vurugu kubwa nchini Uingereza

Show more...
1 year ago
10 minutes

Chahali Podcast
S02E02: Mahojiano na Mwanahabari Nguli Afrika Mashariki, Jackie Lumbasi
S02E02: Mahojiano na Mwanahabari Nguli Afrika Mashariki, Jackie Lumbasi
Show more...
1 year ago
13 minutes 36 seconds

Chahali Podcast
S02 E01: Uzinduzi
Uzinduzi wa Season 02
Show more...
1 year ago
5 minutes

Chahali Podcast
Uchambuzi Kuhusu Mabadiliko Baraza la Mawaziri
Uchambuzi mfupi kuhusu mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri yaliyotangazwa Julai 21, 2024
Show more...
1 year ago
11 minutes

Chahali Podcast
Uchambuzi Kuhusu Jaribio la Mauaji Dhidi ya Donald Trump
1. Kilichojiri 2. Mhusika 3. Haki ya kikatiba kumiliki silaha Marekani inavyochangia mauaji holela 4. Trump kama mhanga wa kauli zake, mfano alivyohamasisha wafuasi wake kuvamia Kongresi Januaru 6, 2021 5. Zama za Fake, siasa za uhasama kati ya Republicans vs Democrats 6. Biden hahusiki lakini haijalishi alimradi watu wanaamini hivyo 7. Shinikizo dhidi ya Biden ajiondoe kuwania urais kama kisingizio kuwa amepanga kumuua Trump 8. Trump atanufaika na tukio hili 9. Kufeli kwa intelijensia 10. Uwezekano wa mkono kutoka nje na funzo kwa Tanzania kuhusu siasa za chuki
Show more...
1 year ago
9 minutes 1 second

Chahali Podcast
Uhusiano Kati Ya Ujasusi na Kusulubiwa kwa Bwana Yesu Kristo
Makala hii fupi inakufahamisha kuhusu uhusiano kati ya intelijensia hususan ujasusi na Juma Kuu, hususan Jumatano Kuu ambayo pia hufahamika kama Jumatano ya Kijasusi (Spy Wednesday). Kadhalika, makala inamwangalia Yuda Iskariote kama pandikizi aliyemsaliti Bwana Yesu
Show more...
1 year ago
5 minutes

Chahali Podcast
Wakati Mama Samia anasema kuna mtandao wa wizi serikalini, Waziri Mwigulu adai hakuna, Waziri Mchengerwa adai wizi ni wa zama za JPM

Wakati Mama Samia anasema kuna mtandao wa wizi wa fedha za serikali, Waziri wake wa Fedha (Mwigulu) adai hakuna wizi serikalini, Waziri Mchengerwa adai huo ni wizi wa "zama za JPM" 🤔


Show more...
1 year ago
3 minutes 21 seconds

Chahali Podcast
Taarifa ya kiintelijensia: Situation Report (SITREP) kuhusu hali ya Rais Mstaafu Mzee Mwinyi
Taarifa ya kiintelijensia: Situation Report (SITREP) kuhusu hali ya Rais Mstaafu Mzee Mwinyi
Show more...
1 year ago
4 minutes 19 seconds

Chahali Podcast
Happy birthday Tanganyika, Happy birthday Jasusi, na Uzinduzi wa kitabu cha UJASUSI
Happy birthday Tanganyika, Happy birthday Jasusi, na Uzinduzi wa kitabu cha UJASUSI
Show more...
1 year ago
10 minutes

Chahali Podcast
Jinsi ya Kuwa Mtu Bora S01E05: Jinsi ya Kutatua Tatizo Lolote Lile Maishani
Jinsi ya Kuwa Mtu Bora S01E05: Jinsi ya Kutatua Tatizo Lolote Lile Maishani
Show more...
2 years ago
7 minutes

Chahali Podcast
Maongezi ya Chahali