Ni show ya kuelemisha na kuzugumza kuhusu vitu vipi vinavyo itajika kuzugumzwa Kati ya wana hip hop ili tusi ignore vitu vipi vinaonekana ni serious lakini taasisi wana chukuwa lightly kwasababu hawajavizoea
Yo! BHH Podcast ndio base ya mambo yote ya Bongo Hip Hop. Tuna-chambua biashara, Tunatoa Siri Za A&R, Tuna-rejelea Historia, kuanzia Tech, na kusikiliza maoni ya Wadau. Tuko hapa kukufunza, kuku-hype, na kuonyesha dunia Bongo Hip Hop ni kitu gani,Ng'aa nasi upate toka gizani leo!. Latyankira kwenye usukani -🎙️