This podcast is about feature stories, local reports, highliting challenges facing the community and how to best to solve those challenges and carry out research and education interviews.
All content for Alice Njeri Muthoni is the property of Alice Njeri and is served directly from their servers
with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
This podcast is about feature stories, local reports, highliting challenges facing the community and how to best to solve those challenges and carry out research and education interviews.
Kawaida, siku ya radio duniani huadhimishwa kila tarehe 13 februari ya kila mwaka. Mwaka huu haujaachwa nyuma kauli mbiu ikiwa ULIMWENGU MPYA, RADIO MPYA
Baada ya ghasia za baada ya uchaguzi,nchi ya Kenya ilichafuka sana. Chuki, vifo nakadhalika. Ili kuondoa mambo haya. Rais Uhuru na Raila odinga wakaonelea waje na salamu Za heri maarufu handshake na papo hapo mtoto BBI akazaliwa
Pengine ushawahi patana na mlemavu na ukamdharau na labda pengine ukambeza!!! Lakini unalopaswa kujua ni kuwa eti, "Kilema ni binadamu " na wana haki Sawa na binadamu yeyote Yule.
Wakenya walikuwa na mategemeo chungu nzima ya mwaka wa 2020.lakini Lo! Maradhi ya covid ya kabisha hodi na bila hata kungojea kukaribishwa. Yakajibwaga nchini na duniani na kuanza kutesa binadamu hadi waeleo.
This podcast is about feature stories, local reports, highliting challenges facing the community and how to best to solve those challenges and carry out research and education interviews.