Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
Health & Fitness
Technology
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Podjoint Logo
US
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts122/v4/a5/71/7f/a5717f98-c522-32d2-935a-5c21c5410199/mza_16336816314299745122.jpg/600x600bb.jpg
Afrika Ya Mashariki
RFI Kiswahili
24 episodes
14 hours ago
Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.
Show more...
News
RSS
All content for Afrika Ya Mashariki is the property of RFI Kiswahili and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.
Show more...
News
Episodes (20/24)
Afrika Ya Mashariki
Kasi na mapokeo ya ueneaji wa akili mnemba barani Afrika
Karibu katika ya Afrika mashariki hii leo macho na masikio ya Makala haya yanatazama kasi na mapokeo ya ueneaji wa akili mnemba barani Afrika tukienega katika Mkutano wa Kimataifa wa AI kuhusu Afrika 2025, unaofanyika Kigali nchini Rwanda Mwandalizi na  msimulizi wako naitwa Martin Nyoni nasema karibu tuwe soote hadi tamati 
Show more...
6 months ago
9 minutes 58 seconds

Afrika Ya Mashariki
Je una ufahamu juu ya ulinzi wa taarifa binafsi ?
Kasi ya ugunduzi na uvumbuzi katika maswala ya sayansi na teknolojia na ujio wa Internet sanjali na matumzi ya mitandao ya kijamii yanafanya wajamii kuwa katika hatari kumbwa kupoteza usiri wa taarifa zao. 
Show more...
7 months ago
9 minutes 59 seconds

Afrika Ya Mashariki
Tatizo la kifua kikuu (TB) katika mataifa ya Afrika Mashariki
Maambukizi ya kifua kikuu yanaweza kuenezwa kwa urahisi katika miji mikubwa na maeneo ya umma ambapo kuna mkusanyiko mkubwa wa watu, kama vile vituo vya mabasi, masoko, na hata sehemu za kazi kama waendesha bodaboda wanavyojihusisha. 
Show more...
7 months ago
9 minutes 59 seconds

Afrika Ya Mashariki
Tanzania: Namna wakaazi wa vijijini wanafikiwa na huduma za maji
Namna wakazi wa maeneo ya vijijini wanafikiwa na huduma za maji nchini Tanzania.
Show more...
7 months ago
9 minutes 50 seconds

Afrika Ya Mashariki
Athari za mgogoro wa DRC katika mataifa ya Afrika
Mgogoro wa Mashariki ya DRC umeendelea kwa miongo kadhaa, na bado ni moja ya changamoto kubwa za kiusalama na kisiasa Barani Afrika.
Show more...
8 months ago
9 minutes 42 seconds

Afrika Ya Mashariki
Umuhimu wa kutunza lugha mama katika jamii za Afrika
Karibu katika Makala ya Afrika mashariki hii leo tukiangaza safari ya miaka 25 ya UNESCO kuenzi lugha mama na nafasi ya lugha mama katika kukuza maendeleo ya jamii Mwandalizi na msimulizi wako naitwa Martin Nyoni nasema karibu tuwe sote hadi tamati ya Makala haya.  
Show more...
8 months ago
9 minutes 59 seconds

Afrika Ya Mashariki
Namna wakazi wanaoishi karibu na migodi wanaweza kufaidika na shughuli hizo
Makala ya Afrika mashariki hii leo tunatuwama na kuangazia kwa namna gani wakazi wanaozunguka migodi ya madini kupitia uwajibikaji kwa jamii.
Show more...
9 months ago
9 minutes 44 seconds

Afrika Ya Mashariki
Tanzania: Changamoto wanazokabiliwa nazo watu wenye Albinism mjini Mwanza
Watu wenye ualbino Afrika Mashariki, na hasa nchini Tanzania, wanakutana na changamoto kubwa za kijamii, kisiasa na kiuchumi. Vilevile, wanakumbana na unyanyapaa, ubaguzi, na vitendo vya kikatili vinavyoweza kupelekea madhara makubwa, ikiwa ni pamoja na mauaji na uharibifu wa miili yao.  
Show more...
9 months ago
9 minutes 33 seconds

Afrika Ya Mashariki
Safari ya miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Zanzibar ilipata uhuru kamili mnamo Desemba 10, 1963, kutoka kwa Uingereza, Waarabu walio wachache walifanikiwa kushika madaraka waliyorithi kutoka kwa Zanzibar kuwepo kama eneo la ng'ambo la Oman.
Show more...
9 months ago
9 minutes 21 seconds

Afrika Ya Mashariki
Tanzania: Kuongezeka kwa visa vya ugonjwa wa usugu wa vimelea dhidi ya dawa
Wiki hii tunatuwa nchini Tanzania tukiangaza kuongezeka kwa visa vya ugonjwa wa usugu wa vimelea dhidi ya dawa (UVIDA)
Show more...
11 months ago
9 minutes 44 seconds

Afrika Ya Mashariki
Uwekezaji katika sekta ya kilimo mkoani Arusha Kaskazini mwa Tanzania
Sekta ya Kilimo inaongoza kuwa na fursa nyingi za uwekezaji kwa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla kwa mfano uzalishaji wa Ngano, mafuta ya kupikia, matunda na mboga mboga, mbolea, Viatilifu, mbegu bora, vifungashio, kupunguza upotevu wa mazao baada ya mavuno na eneo la kilimo cha umwagiliaji.   
Show more...
12 months ago
9 minutes 59 seconds

Afrika Ya Mashariki
Tanzania: Kumbukizi ya miaka 119 tangu kuibuka kwa vita vya majimaji
Karibu katika Makala ya Afrika mashariki, hii leo tunatuwama nchini Tanzania katika Mkoa Lindi uliopo kusini mwa Tanzania mahali ilipo ibuka vita vya majimaji mara hii ikiwa ni kumbukizi ya miaka 119 tangu kuibuka kwa vita vya Majimaji.
Show more...
1 year ago
9 minutes 59 seconds

Afrika Ya Mashariki
Wiki ya vijana ilivyoaadhimishwa mjini Mwanza nchini Tanzania
Tunaangazia jinsi vijana wanavyoweza kutumia fursa za kidijitali katika kukuza na kuimarisha shughuli zao za kiuchumi mjini Mwanza nchini Tanzania. 
Show more...
1 year ago
9 minutes 59 seconds

Afrika Ya Mashariki
Tanzania: Mradi wa Jenga Kesho Bora ulivyoanza kutoa mazao kwa wafugaji wa samaki
Namna Mradi wa Jenga Kesho Bora (BBT), unaosimamiwa na Wizara ya Kilimo nchini Tanzania ulivyoanza kutoa mazao kwa wafugaji wa samaki kwa njia ya vizimba ndani ya Ziwa Victoria. 
Show more...
1 year ago
9 minutes 59 seconds

Afrika Ya Mashariki
Maadhimisho ya kimataifa ya siku ya lugha ya alama
Jamii imetakiwa kujifunza lugha ya alama ilikuweza kuwasiliana vyema na watu wanaoishi na ulemavu wa kusikia.
Show more...
1 year ago
9 minutes 59 seconds

Afrika Ya Mashariki
EAC: Namna mafunzo ya ujasiriamali yanaweza kuwainua vijana
Katika Makala ya Afrika mashariki hii leo tunatuwama kuangaza na kumulika namna mafunzo ya ujasiriamali yanaweza kuwainua vijana walio ukanda wa Afrika mashariki kupunguza ukali wa Maisha kutokana na kukosa ajira. 
Show more...
1 year ago
9 minutes 56 seconds

Afrika Ya Mashariki
Maonesho ya awamu ya19 ya biashara katika nchi za Afrika Mashariki
Maonyesho haya pamoja na kutoa fursa kwa makampuni ya Afrika mashariki kujifunza na kupanua wigo wa biashara za nje kwakutumia fursa zilizopo za makubaliano ya kibiashara kati ya nchi washiriki nahata kuvuka mipaka ya kufikia juuiya nyingine kwama vile SADC, AGOA,na EBA
Show more...
1 year ago
9 minutes 59 seconds

Afrika Ya Mashariki
EAC: Fursa za uchumi wa samawati katika Ziwa Victoria
1 year ago
9 minutes 59 seconds

Afrika Ya Mashariki
Maendeleo ya shughuli za uvuvi kwenye maziwa Tanganyika na Victoria
Hivi karibu serikali ya Tanzania iliitaka taasisi ya uvuvi ya Ziwa Victoria (LVFO) kuandaa mkakati wa kulifunga ziwa hilo kwa kipindi kirefu. Kauli hiyo inakuja siku chache baada ya kufunguliwa kwa Ziwa Tanganyika lililofungwa kwa miezi mitatu kutoka Mei 15 hadi Agosti 15, 2024 kwa ajili ya kuruhusu samaki kuweza kuzaliana kwa wingi
Show more...
1 year ago
9 minutes 59 seconds

Afrika Ya Mashariki
Hofu kwa wavuvi wa biashara ya samaki Ziwa Victoria nchini Tanzania
Serikali ya Tanzania imekuwa ikiteleza kanuni za mwaka 2009 juu ya kulifunga ziwa hilo kwa muda wa siku 10 utaratibu huu umekuwa endelevu hadi sasa ambapo kila mwezi wavuvi hawaruhusiwi kujishughulisha na shughuli za uvuvi kwa siku 10, ikiwa na maana kwamba katika kipindi cha mwaka mzima, Ziwa hilo linafungwa kwa siku 120, sawa na Robo mwaka yaani miezi minne
Show more...
1 year ago
9 minutes 59 seconds

Afrika Ya Mashariki
Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.