Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
History
Fiction
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts211/v4/ed/d6/a3/edd6a3e0-85c4-5e0f-8979-9b4db5cfa34f/mza_12659308553311822165.jpg/600x600bb.jpg
Ushairi wa Mwanagenzi
Kimani wa Mbogo
9 episodes
1 week ago
Jifunze mengi kuhusu ushairi wa Kiswahili. Sikiliza Mashairi yaliyotungwa kuburudisha, kuelimisha na kuchangamsha.
Show more...
Education
RSS
All content for Ushairi wa Mwanagenzi is the property of Kimani wa Mbogo and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Jifunze mengi kuhusu ushairi wa Kiswahili. Sikiliza Mashairi yaliyotungwa kuburudisha, kuelimisha na kuchangamsha.
Show more...
Education
https://d3t3ozftmdmh3i.cloudfront.net/production/podcast_uploaded_episode400/36146922/36146922-1679336275299-1e816a08182b4.jpg
Shairi: Jibwa Litaniumia Toto
Ushairi wa Mwanagenzi
3 minutes 38 seconds
2 years ago
Shairi: Jibwa Litaniumia Toto

Sijui kama unamfahamu vema jirani yako au mtu mnayeshirikiana naye kwa karibu mno. Na suala la "Nyumba Kumi"  linapotajwa sijui linaibua hisia gani kwenye fikra zako. Baadhi ya watu tunaoishi pamoja, huenda wasikufae kwa chochote au lolote. Wengine watakutumia, wakunongeshe na kukudhalilisha, hasara kwako. Wengine ni wanafiki wasio na utu, wasiokutendea lolote la hisani. Hata kama utamwamini aliye karibu nawe, usimtegemee wala ukadhani ni malaika kwako. Hili halimaanishi wewe usimtendee wema. Tenda wema nenda zako.
Shairi lifuatalo linaelezea kwa kina suala hili. Mhusika anahofia kwamba mtoto wake ataumwa na jibwa la jirani. Hili lalinganishwa na maovu anayoweza kufanyiwa na jirani yake. Ni shairi linaloonya kuhusu ushirikiano wako na jirani au mwandani wako wa karibu. Linamfahamisha hatari zinazomkabili kuwa na jirani asiye na matendo mema.

Ushairi wa Mwanagenzi
Jifunze mengi kuhusu ushairi wa Kiswahili. Sikiliza Mashairi yaliyotungwa kuburudisha, kuelimisha na kuchangamsha.