All content for TUJIBEBE is the property of Tujibebe Tanzania and is served directly from their servers
with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Tunawapa vijana maarifa na maujanja ili waweze kufanya maamuzi bora juu ya maisha yao
Katika kipindi cha kwanza cha Tujibebe, tunakutana na Tunu, Rehema na Jojo wakianza mwaka mpya katika shule ya sekondari ya Ongoza. Jojo anamshauri Tunu kujiunga na timu ya netball, kitu ambacho kinaleta changamoto baina ya Tunu na Rehema.
TUJIBEBE
Tunawapa vijana maarifa na maujanja ili waweze kufanya maamuzi bora juu ya maisha yao