All content for The Uongozi Wa Kiroho Podcast is the property of uongoziwakiroho and is served directly from their servers
with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Ushauri wa kiutendaji na mafundisho ya kibiblia kusaidia kukidhi mahitaji ya Viongozi wa Kiroho
Mchungaji Emmanuel Mwankasole kutoka Dodoma, Tanzania anatukumbusha juu ya umuhimu wa kufanya uanafunzi. Baada ya kujibu swali la msingi "Kwa nini tufanye?" yeye anaendelea kutoa mafunzo mazuri sana kwa ajili ya viongozi, namna ya kufanya uanafunzi na faida tutakazoziona tukifanya uanafunzi kwa uaminifu. Bila shaka utabarikiwa na kujengwa na podcast hii.
The Uongozi Wa Kiroho Podcast
Ushauri wa kiutendaji na mafundisho ya kibiblia kusaidia kukidhi mahitaji ya Viongozi wa Kiroho