All content for The Uongozi Wa Kiroho Podcast is the property of uongoziwakiroho and is served directly from their servers
with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Ushauri wa kiutendaji na mafundisho ya kibiblia kusaidia kukidhi mahitaji ya Viongozi wa Kiroho
Mzee Smith anazungumza na mchungaji ambaye, pamoja na kuongoza kanisa na kufanya huduma nyingine nyingi, anaweka mkazo katika kazi muhimu ya kulea viongozi wengine. Sikiliza mashauri yake namna ya kutambua viongozi wa siku zijazo na jinsi ambavyo mchungaji anaweza kuwafundisha na kuwalea katika kanisa.
The Uongozi Wa Kiroho Podcast
Ushauri wa kiutendaji na mafundisho ya kibiblia kusaidia kukidhi mahitaji ya Viongozi wa Kiroho