Teacher Msauzi ni kijana wa Kitanzania ambaye amefanikiwa kusafiri na kutembea na kuishi katika nchi mbalimbali ambapo amekutana na watu wa tabia na misimamo mbalimbali. Kuna msemo wa kiswahili unaosema MSAFIRI KAFIRI hivyo kutokana na Teacher Msauzi kusafiri mara kwa mara basi jina hili ndio ikawa kauli mbiu ya Teacher Msauzi. Mengi yanakuja kupitia podcast hii na platform nyingine. Huu ni mwanzo tu na ninahitaji maoni yako ili kuboresha podcast hii
All content for Teacher Msauzi is the property of Teacher Msauzi and is served directly from their servers
with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Teacher Msauzi ni kijana wa Kitanzania ambaye amefanikiwa kusafiri na kutembea na kuishi katika nchi mbalimbali ambapo amekutana na watu wa tabia na misimamo mbalimbali. Kuna msemo wa kiswahili unaosema MSAFIRI KAFIRI hivyo kutokana na Teacher Msauzi kusafiri mara kwa mara basi jina hili ndio ikawa kauli mbiu ya Teacher Msauzi. Mengi yanakuja kupitia podcast hii na platform nyingine. Huu ni mwanzo tu na ninahitaji maoni yako ili kuboresha podcast hii
Msafiri kafiri S1 E2 : Zifahamu nchi ambazo Mtanzania anaingia bila Visa.!
Teacher Msauzi
17 minutes 59 seconds
4 years ago
Msafiri kafiri S1 E2 : Zifahamu nchi ambazo Mtanzania anaingia bila Visa.!
Katika episode ya 2 ya msafiri kafiri nakufahamisha nchi ambazo mtanzania anaingia bila visa,anazohitaji visa na ambazo kutokana na Covid 19 mtanzania haruhusiwi kwenda. Katika episode hii nimekutajia tu nchi hizo kwa ujumla wake lakini katika episode ya 3 panapo majaliwa nitakutajia nchi zile ambazo mtanzania anaingia free na maelezo yake mengi zaidi.
Teacher Msauzi
Teacher Msauzi ni kijana wa Kitanzania ambaye amefanikiwa kusafiri na kutembea na kuishi katika nchi mbalimbali ambapo amekutana na watu wa tabia na misimamo mbalimbali. Kuna msemo wa kiswahili unaosema MSAFIRI KAFIRI hivyo kutokana na Teacher Msauzi kusafiri mara kwa mara basi jina hili ndio ikawa kauli mbiu ya Teacher Msauzi. Mengi yanakuja kupitia podcast hii na platform nyingine. Huu ni mwanzo tu na ninahitaji maoni yako ili kuboresha podcast hii