Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Business
Society & Culture
Health & Fitness
Sports
Technology
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Podjoint Logo
US
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts116/v4/11/b4/5b/11b45b4c-0b4e-2bca-91b0-a082828d5bce/mza_4057064161447581679.jpg/600x600bb.jpg
Tanzania Gnosis's podcast
Tanzania Gnosis
6 episodes
9 months ago
Neno "Gnosis" hurejelea ujuzi tunaopata kupitia uzoefu (experience) wetu wenyewe, lakini pia si sawa na ujuzi ambao tunaambiwa au kuamini. Gnosis - kwa jina lolote katika historia au utamaduni - ni maarifa, uzoefu, si ujuzi wa kiakili au dhana tu, imani, au nadharia. Neno hili ni sawa na neno la Kiebrania "Daath" na la Sanskrit "Jna."
Show more...
Spirituality
Religion & Spirituality,
Society & Culture,
Philosophy
RSS
All content for Tanzania Gnosis's podcast is the property of Tanzania Gnosis and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Neno "Gnosis" hurejelea ujuzi tunaopata kupitia uzoefu (experience) wetu wenyewe, lakini pia si sawa na ujuzi ambao tunaambiwa au kuamini. Gnosis - kwa jina lolote katika historia au utamaduni - ni maarifa, uzoefu, si ujuzi wa kiakili au dhana tu, imani, au nadharia. Neno hili ni sawa na neno la Kiebrania "Daath" na la Sanskrit "Jna."
Show more...
Spirituality
Religion & Spirituality,
Society & Culture,
Philosophy
https://d3wo5wojvuv7l.cloudfront.net/t_rss_itunes_square_1400/images.spreaker.com/original/0cd08a23197e2580c83f7f51b4841187.jpg
Maarifa ya Asili (Utangulizi)
Tanzania Gnosis's podcast
1 hour 26 minutes
1 year ago
Maarifa ya Asili (Utangulizi)
Gnosis siyo dini kana kwamba watu wake ni wa kutafuta kukusanya watu na kuanzisha nyumba za ibada. Gnosis ni maatifa ya ndani ambayo huambatana na juhudi katika natendo hata kupata matokeo chanya. Wana-gnosis tunaheshimu dini zote maana tunapotizama mafundisho yake tunakuta ni kivuli ya majukumu ambayo kila mwana-gnosis hupaswa kupitia yaani njia yenyewe ya kuelekea nuruni. Njia ya Gnosis haijihusishi na kunyoshea watu vidole wala hatujikwezi ya kwamba sisi ni bora kuliko yeyote. Tunatambua jukumu la kubadilika sisi kwanza ili wengine nao wabadilike na siyo kupambana kuona mabovu ya wengine huku ya kwetu hatuyaoni. Kila mwana-gnosis huipita njia ya maarifa hatua kwa hatua, kupanda na kushuka hata kuufikia ukamilifu. Pamoja na kwamba mwana-gnosis atafikia kizio cha juu ya utimilifu, hakupo kujikweza kusema kwamba yeye ni bora kuliko fulani. Vilevile ni siri ya mtu kusema kizio alichofikia kwa maana kizio afikiacho mtu ni ya ndani yake na wala hakihusiani na mwili huu wa uharibifu. Ndiyo maana tunajifunza maarifa ya ndani ambayo hayahusiani kabisa na maarifa ya akili (intellectual mind).

Utajifunza maarifa yatokanayo na utu wa ndani kwa faida za nafsi yako. Kwa maana ni muhimu sana kuyafahamu maarifa ya ndani yako na mengine yote huja kama mshahara wa ufahamu wako juu ya Muumba aliye ndani yako. Maarifa haya siyo yale yaliyozoeleka yaani ya mwili ama ya kiakili, la hasha. Pamoja na yoye, ni kwamba tunatumia mwili kama ni mlango wa kutupitisha kule tuendako kwa maana tupo kwenye miili kwa kusudi maalumu.
Tanzania Gnosis's podcast
Neno "Gnosis" hurejelea ujuzi tunaopata kupitia uzoefu (experience) wetu wenyewe, lakini pia si sawa na ujuzi ambao tunaambiwa au kuamini. Gnosis - kwa jina lolote katika historia au utamaduni - ni maarifa, uzoefu, si ujuzi wa kiakili au dhana tu, imani, au nadharia. Neno hili ni sawa na neno la Kiebrania "Daath" na la Sanskrit "Jna."