Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
History
Fiction
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts115/v4/fd/ee/1a/fdee1afb-232c-158d-f728-70b489183e66/mza_8350944664688333027.jpg/600x600bb.jpg
Sheria Poa Podcast
Privaty Rugambwa
18 episodes
1 day ago
Sheria Poa, ni kipindi ambacho tunaongelea maswala mbalimbali ya jamii kwa mtazamo wa sheria na kwa lugha nyepesi kabisa na ya kiurafiki, ni kipindi cha kufundisha na kusaidia kwa watu wa aina zote.
Show more...
Education
RSS
All content for Sheria Poa Podcast is the property of Privaty Rugambwa and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Sheria Poa, ni kipindi ambacho tunaongelea maswala mbalimbali ya jamii kwa mtazamo wa sheria na kwa lugha nyepesi kabisa na ya kiurafiki, ni kipindi cha kufundisha na kusaidia kwa watu wa aina zote.
Show more...
Education
https://d3t3ozftmdmh3i.cloudfront.net/production/podcast_uploaded_nologo/13276231/13276231-1626169007566-7d2545020ee0a.jpg
Muundo wa Serikali na Madaraka ya Rais Kwenye Katiba Ya Tanzania ya Mwaka 1977 | SheriaPoa
Sheria Poa Podcast
22 minutes 44 seconds
2 years ago
Muundo wa Serikali na Madaraka ya Rais Kwenye Katiba Ya Tanzania ya Mwaka 1977 | SheriaPoa

Kwenye Kipindi cha leo tupo na Mawakili Wasomi, Deogratius Bwire pamoja na Nuru Maro wakitupitisha katika Sura ya Pili ya Katikba ya Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania, hususani kwenye Muundo wa Serikali ya kwa mujibu wa katiba hii na madaraka ya Rais. Mawakili wasomi wanatuelezea kwa kina, muundo wa serikali hii na changamoto zilizopo kwenye muundo huu wa serikali na mapendekezo yao ya nini kifanyike kwenye mchakato wa katiba mpya ili kuboresha muundo huu na madaraka ya Rais kwa ujumla. Kama unapenda tunachokifanya, tuwezeshe kupitia Lipa Namba TigoPesa - 8212862 Subscribe kwenye chaneli yetu:    / @uctr2i2xphlapb71...   Sikiliza Podcast yetu kupitia: Apple Podcast link: https://apple.co/3ZwLmSA Spotify: http://bit.ly/40v0UYd Google Podcast Link: http://bit.ly/3zm0irZ Audiomack Link: https://audiomack.com/sheriapoa Youtube Link:    / @sheriapoa  #SheriaPoa #SheriaPoaPodcast #katiba #katibampya #sheria

Sheria Poa Podcast
Sheria Poa, ni kipindi ambacho tunaongelea maswala mbalimbali ya jamii kwa mtazamo wa sheria na kwa lugha nyepesi kabisa na ya kiurafiki, ni kipindi cha kufundisha na kusaidia kwa watu wa aina zote.