Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
History
Fiction
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts115/v4/fd/ee/1a/fdee1afb-232c-158d-f728-70b489183e66/mza_8350944664688333027.jpg/600x600bb.jpg
Sheria Poa Podcast
Privaty Rugambwa
18 episodes
2 days ago
Sheria Poa, ni kipindi ambacho tunaongelea maswala mbalimbali ya jamii kwa mtazamo wa sheria na kwa lugha nyepesi kabisa na ya kiurafiki, ni kipindi cha kufundisha na kusaidia kwa watu wa aina zote.
Show more...
Education
RSS
All content for Sheria Poa Podcast is the property of Privaty Rugambwa and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Sheria Poa, ni kipindi ambacho tunaongelea maswala mbalimbali ya jamii kwa mtazamo wa sheria na kwa lugha nyepesi kabisa na ya kiurafiki, ni kipindi cha kufundisha na kusaidia kwa watu wa aina zote.
Show more...
Education
https://d3t3ozftmdmh3i.cloudfront.net/production/podcast_uploaded_nologo/13276231/13276231-1626169007566-7d2545020ee0a.jpg
Mikataba ya wachumba kabla ya Ndoa (Prenups) - Tanzania
Sheria Poa Podcast
28 minutes 8 seconds
4 years ago
Mikataba ya wachumba kabla ya Ndoa (Prenups) - Tanzania

Mikataba ya wachumba kabla ya ndoa (Prenups) ni mikataba ambayo wanandoa watarajiwa huingia kuhusu mali walizochuma kabla ya kufungua ndoa husika. Aina hii ya mikataba lengo lake kuu huwa ni kuhakikisha mali ambazo wanandoa wamechuma kabla ya ndoa husika hazitokuwa mali za pamoja za wanandoa hao endapo ndoa hiyo itavunjika.

Katika kipindi cha leo tupo na Wakili msomi Emmanuel Bakilana, ambaye anatufafanulia kuhusu mikataba hii, madhumuni yake, faida na hasara zake kwenye jamii yetu ya kitanzania na sisi kama jamii tunahitaji aina hii ya mikataba.

Kwa maelezo zaidi kuhusu wazungumzaji;

Privaty Rugambwa

https://www.linkedin.com/in/privaty-patiensi-rugambwa-5078554a/

https://www.irglobal.com/advisor/privaty-patiensi-rugambwa/

Emmanuel Bakilana

https://tz.linkedin.com/in/emmanuel-g-bakilana-846405123


Kwa maelezo zaidi juu ya Mikataba ya wanandoa kabla ya ndoa

Kupakua Sheria

The Law of Marriage Act [CAP 29 RE 2019]

https://rita.go.tz/eng/laws/History%20Laws/Marriage%20Ordinance,%20(cap%2029).pdf

Tovuti

https://www.investopedia.com/terms/p/prenuptialagreement.asp

https://www.graysons.co.uk/advice/prenuptial-agreements/

https://brittontime.com/2021/02/22/what-is-a-prenup-and-how-do-they-work/

Sheria Poa Podcast
Sheria Poa, ni kipindi ambacho tunaongelea maswala mbalimbali ya jamii kwa mtazamo wa sheria na kwa lugha nyepesi kabisa na ya kiurafiki, ni kipindi cha kufundisha na kusaidia kwa watu wa aina zote.