Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
History
Fiction
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts125/v4/30/25/91/3025917f-aa19-2f2f-1bd0-72811b0f9057/mza_13880144656290491544.jpg/600x600bb.jpg
RadioRahma
radiorahma
186 episodes
1 week ago
Tutakuwa tunaweka makala ya mada mbali mbali katika mtandao wetu wa podcast yetu. Karibu sana
Show more...
Personal Journals
Society & Culture
RSS
All content for RadioRahma is the property of radiorahma and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Tutakuwa tunaweka makala ya mada mbali mbali katika mtandao wetu wa podcast yetu. Karibu sana
Show more...
Personal Journals
Society & Culture
Episodes (20/186)
RadioRahma
STORY YANGU NA MWENYE UMAR SHARIFF
story yangu na Mwenye Umari
Show more...
1 year ago
41 minutes 28 seconds

RadioRahma
STORY YANGU NA MOHAMMAD ABBAS
Story Yangu
Show more...
2 years ago
35 minutes 4 seconds

RadioRahma
STORY YANGU NA SALIM MOHAMMED
Professional diver
Show more...
2 years ago
49 minutes 56 seconds

RadioRahma
STORY YANGU MOHAMMED THABIT
Kisa cha Ferry ya Mtongwe Kuzama
Show more...
2 years ago
35 minutes 4 seconds

RadioRahma
STORY YANGU NA SWALEH YAHYA
Vile Mwanabaharia Swaleh Yahya alipata kisanga akiwa baharini na ndugi yake na Mtalii
Show more...
2 years ago
30 minutes 33 seconds

RadioRahma
STORY YANGU NA MURAD SWALEH
Vile kijana Murad Swaleh aliingilia Dawa za Kulevya tokea utotoni na kueza kujitoa baadae
Show more...
2 years ago
50 minutes 43 seconds

RadioRahma
STORY YANGU NA CHARITY CHIGULU
Vile Mwanahabari alipoteza macho yake kwa ugonjwa unaoitwa Glaucoma
Show more...
2 years ago
27 minutes 18 seconds

RadioRahma
Nipe Sanitary pads na miti nikupe chupa za plastiki tukabili climate change

Utunzaji wa mazingira umekua changamoto kubwa sana kote ulimwenguni kwani mabadiliko ya hali ya hewa imeathiri vigezo vingi katika jamii ikiwemo afya, hewa safi, maji safi ya kunywa,chakula na makazi salama.

 

Kufuatia hali hio wanafunzi katika shule ya Salex Transition Academy iliyoko eneo la Mtongwe kaunti ya Mombasa wamejitosa katika kukabili mabadiliko ya tabia nchi,kwa kutumia mbinu ya kubadilishana chupa za plastiki kwa sodo,miti na vifaa vingine vya masomo.

Fatuma Hamisi mwenye umri wa miaka 13 ni mwanafunzi katika shule ya msingi ya Salex Transition Academy.Yeye ni mwanafunzi wa gredi ya 6 na  pia ni miongoni mwa wanafunzi wanaojishughulisha na utunzaji wa mazingira katika shule hiyo.

Mwandishi:Athuman Luchi












Show more...
2 years ago
8 minutes 51 seconds

RadioRahma
WANAWAKE WATUMIA TEKNOLOGIA KUJIIMARISHA KIUCHUMI

Licha ya idadi ya wanawake katika taalum ya teknologia kuwa ndogo ikilinganishwa na idadi ya wanaume, wanawake wameonekana kupambana ili kukabiliana na tofauti hiyo.

Ripoti kutoka benki kuu ya dunia inaonyesha kuwa wanawake wako chini ya thuluthi moja ya wafanyikazi ulimwenguni katika nyanja zinazohusiana na teknolojia.

Ambapo wanashikilia asilimia 28 ya kazi zote za kompyuta na hisabati, na asilimia15.9 ya kazi za uhandisi na usanifu

Mwandishi:Nuru Mwalimu

Show more...
2 years ago
12 minutes 1 second

RadioRahma
Mtiririko wa taka baharini, tishio la kuangamia kwa viumbe vya bahari

Makala haya yanazungumzia kuhusu uchafuzi wa bahari hasa katika eneo la Mbuyuni-Mji wa Kale kaunti ya Mombasa.

Eneo hilo limeathirika na maji taka yanayotoka katika nyumba zinazopakana na ufuo wa bahari.Makala haya yametayarishwa na Ruth Keah.

Show more...
2 years ago
12 minutes 58 seconds

RadioRahma
Challenges of teenage pregnancy facing girls with mental disability.

17-year-old Jane is among the children with mental disabilities who were molested and impregnated. Jane is currently raising a three-month-old baby boy.

By Rose Tawa.

Show more...
2 years ago
8 minutes 22 seconds

RadioRahma
Wakulima Wanavyokabiliana na Afya ya Akili Inayosababishwa na Climate Change

Mabadiliko ya Tabia Nchi yameathiri sana wakulima na wafugaji hatua inayo wafanya wengi kukumbwa na tatizo la afya ya Akili.Kufuatia hatua hio sasa baadhi ya wakulima wanajizatiti kukabiliana na Afya ya Akili Inayosababishwa na mabadiliko hayo.Sasa wakulima hao,wamejitosa katika ufugaji wa nyuki na vipepeo,huku wengine wakifanya biashara ndogo ndogo za kukimu mahitaji ya familia.

Athuman Luchi,ametuandalia makala hayo aliyoyapa jina la Wakulima Wanavyokabiliana na Afya ya Akili Inayosababishwa na Climate Change



Show more...
2 years ago
4 minutes 39 seconds

RadioRahma
Kumaliza Dhulma za Mtandao Hatua kwa Hatua

Makala haya yanazungumzia kuhusu hatua ambazo zimepigwa na wadau mbalimbali kuhakikisha kuwa dhulma za mtandaoni zinaripotiwa na wahusika kuchukuliwa hatua za kisheria. Yametayarishwa na Ruth Keah.

Show more...
2 years ago
10 minutes 54 seconds

RadioRahma
Ujangili wa viumbe vya baharini

Makala haya yanazungumzia kuhusu ujangili unaofanyiwa viumbe vya baharini. Yametayarishwa na Ruth Keah.

Show more...
2 years ago
9 minutes 20 seconds

RadioRahma
Teknolojia ya Rangi Katika Kukabiliana na Uhalifu Mombasa

Makala haya yanazungumzia kuhusu mbinu ya Rangi ambayo wanabodaboda kaunti ya Mombasa wanatumia kutofautisha sehemu wanazohudumu kama njia moja ya kukabiliana na visa vya uhalifu. Makala yametayarishwa na Ruth Keah.

Show more...
2 years ago
11 minutes 12 seconds

RadioRahma
Ushirikiano unavyosaidia kupambana na mbinu za uvuvi haramu Shimoni-Kwale.

Makala haya yanazungumzia kuhusu juhudi za mashirika mbalimbali ambayo yamekuja pamoja kukabiliana na uvuvi wa kutumia mbinu haramu katika eneo la Shimoni Kwale. Yametayarishwa na Ruth Keah.

Show more...
2 years ago
15 minutes 56 seconds

RadioRahma
Mti Wa Kukabiliana Na Mabadiliko Ya Tabia Nchi Katika Kila Boma.

Ukataji wa miti kiholela umesababisha mabadiliko ya tabianchi,kiangazi,mmomonyoko wa udongo,mafuriko na ongezeko la hewa chafu hatua inayochangia athari mbali mbali kwa jamii.

Kufuatia mabadiliko hayo ya tabia nchi,sasa jamii imejitokeza kuja na mbinu mbali mbali za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi.

Makundi ya wanawake na vijana katika kaunti ya kwale yanaendeleza mpango wa upanzi wa miti,walioupa jina la Mti wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi katika kila boma.


By Rose Tawa.

Show more...
2 years ago
8 minutes 8 seconds

RadioRahma
Uhifadhi Wa Mazingira Umesababisha Kujengwa Kwa Mkahawa Unaovutia Watalii Dabaso.

Makala haya yanazungumzia kuhusu jamii ilivyoungana kulinda mazingira hasa mikoko katika eneo la Mida Creek Dabaso. Hatua iliyowafanya kujenga mkahawa juu juu ya mikoko na kwasasa mkahawa huo umekuwa kivutio kikubwa cha watalii kutoka humu nchini na hata nje ya nchi. Mtayarishi ni Ruth Keah.

Show more...
2 years ago
13 minutes 13 seconds

RadioRahma
Watu wenye ulemavu wanavyokabili climate change

Mabadiliko ya tabia nchi yanazidi kuathiri kila mtu kila siku,kufuatia hayo watu wenye ulemavu wamejikita katika mbinu mbali mbali za kukabiliana na mabadiliko hayo ya tabia nchi jijini Mombasa.Mwanahabri wetu Nuru Mwalimu ametuandalia makala yanayosimulia juhudi za watu wenye ulemavu katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

Show more...
2 years ago
6 minutes 3 seconds

RadioRahma
Wanahabari wa Radio Wanavyopambana na ongezeko la habari za Kupotosha

Makala haya yanazungumzia kuhusu juhudi mbalimbali ambazo wanahabari wa Radio wanafanya kuhakikisha kuwa habari wanazopeperusha hewani ni za uhakika. Yametayarishwa na Ruth Keah

Show more...
2 years ago
11 minutes 8 seconds

RadioRahma
Tutakuwa tunaweka makala ya mada mbali mbali katika mtandao wetu wa podcast yetu. Karibu sana