Stori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi!
Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza.
Sikiliza kipindi cha Naweza
| Radio Free Afrika kila Jumamosi saa 11 jioni
| Radio TBC Taifa kila Jumapili saa 11:30 jioni
| Radio One kila Jumamosi saa 2:15 usiku
Kipindi cha Naweza Show kinaletwa kwenu na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma (HPS)
All content for Naweza Show is the property of Naweza Show and is served directly from their servers
with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Stori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi!
Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza.
Sikiliza kipindi cha Naweza
| Radio Free Afrika kila Jumamosi saa 11 jioni
| Radio TBC Taifa kila Jumapili saa 11:30 jioni
| Radio One kila Jumamosi saa 2:15 usiku
Kipindi cha Naweza Show kinaletwa kwenu na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma (HPS)
Naweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 8: Umuhimu wa kumpeleka mwanao katika kituo cha kutolea huduma za afya ili apate chanjo na kujenga kinga ya mwili wake.
Naweza Show
26 minutes 51 seconds
5 years ago
Naweza Show - Msimu wa 2, Sehemu ya 8: Umuhimu wa kumpeleka mwanao katika kituo cha kutolea huduma za afya ili apate chanjo na kujenga kinga ya mwili wake.
Hapa tutasikiliza simulizi ya Maua na mumewe Kingolile hawa wawili hakukamilisha ratiba za chanjo ya mtoto wao hivyo ikawapelekea kumuuguza kwa mda mrefu.
Naweza Show
Stori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi!
Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza.
Sikiliza kipindi cha Naweza
| Radio Free Afrika kila Jumamosi saa 11 jioni
| Radio TBC Taifa kila Jumapili saa 11:30 jioni
| Radio One kila Jumamosi saa 2:15 usiku
Kipindi cha Naweza Show kinaletwa kwenu na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma (HPS)