Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Business
Society & Culture
History
Sports
Health & Fitness
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts211/v4/c5/3e/cc/c53ecc68-397d-991d-b35b-5016ab775c75/mza_1256632132512185068.jpg/600x600bb.jpg
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
RFI Kiswahili
24 episodes
16 hours ago

Makala yanayochambua masuala na matukio mbalimbali yaliyotokea kwenye jamii kwa wiki nzima kwa kina, yanatoa fursa kwa msikilizaji kueleza hisia na mtazamo wake juu ya masuala yanayoendelea kutokea iwe ni katika uga wa uchumi na siasa duniani kote.

Show more...
News
RSS
All content for Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii is the property of RFI Kiswahili and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.

Makala yanayochambua masuala na matukio mbalimbali yaliyotokea kwenye jamii kwa wiki nzima kwa kina, yanatoa fursa kwa msikilizaji kueleza hisia na mtazamo wake juu ya masuala yanayoendelea kutokea iwe ni katika uga wa uchumi na siasa duniani kote.

Show more...
News
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts211/v4/c5/3e/cc/c53ecc68-397d-991d-b35b-5016ab775c75/mza_1256632132512185068.jpg/600x600bb.jpg
Jumuiya za EAC na SADC kuujadili mzozo wa mashariki mwa DRC, hali ya Gaza
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
20 minutes 8 seconds
3 months ago
Jumuiya za EAC na SADC kuujadili mzozo wa mashariki mwa DRC, hali ya Gaza
Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo juma hili zilifanya mkutano wa kwanza wa kamati ya pamoja ya usimamizi , kesi ya rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila ilisikilizwa kwa mara ya pili mjini Kinshasa, serikali ya Tanzania, ilipiga marufuku raia wa kigeni kufanya biashara ndogondogo, hali nchini Sudan kusini na Sudan, hatua ya rais wa Cote D’Ivoire kutangaza nia ya kuwania urais kwa muhula wa nne na kwengineko duniani.
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Makala yanayochambua masuala na matukio mbalimbali yaliyotokea kwenye jamii kwa wiki nzima kwa kina, yanatoa fursa kwa msikilizaji kueleza hisia na mtazamo wake juu ya masuala yanayoendelea kutokea iwe ni katika uga wa uchumi na siasa duniani kote.