Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
History
Fiction
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts116/v4/2d/a3/00/2da3003c-f421-10e5-af7a-7f726b568845/mza_2627359760741856166.jpg/600x600bb.jpg
Mrs Loureen J
Loureen Juma
6 episodes
1 day ago
Uwanja wakuzungumza mambo mbalimbali ya kuijenga jamii. Tutazungumza kwa uwazi na kwa kulenga kujenga zaidi nyanja mbalimbali za jamii kama vile; Mahusiano binafsi, urafiki, uchumba na ndoa, maadili ya jamii na fursa mbalimbali (Msingi ukiwa ni NENO la Mungu). Tutakuwa updated na mambo mengi yanayoendelea kwenye maisha kwa ujumla huku msingi mzuri ukiwa ni NENO. By ; Loureen Christian Production (LCP)
Show more...
Christianity
Religion & Spirituality
RSS
All content for Mrs Loureen J is the property of Loureen Juma and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Uwanja wakuzungumza mambo mbalimbali ya kuijenga jamii. Tutazungumza kwa uwazi na kwa kulenga kujenga zaidi nyanja mbalimbali za jamii kama vile; Mahusiano binafsi, urafiki, uchumba na ndoa, maadili ya jamii na fursa mbalimbali (Msingi ukiwa ni NENO la Mungu). Tutakuwa updated na mambo mengi yanayoendelea kwenye maisha kwa ujumla huku msingi mzuri ukiwa ni NENO. By ; Loureen Christian Production (LCP)
Show more...
Christianity
Religion & Spirituality
https://d3t3ozftmdmh3i.cloudfront.net/production/podcast_uploaded_nologo/6533370/6533370-1679169000969-67f7d57a1c60e.jpg
KABLA HUJAANZISHA MAHUSIANO NA MTU AU KIJANA MWENZAKO, ANGALIA KWANZA MAHUSIANO YAKE NA MUNGU
Mrs Loureen J
37 minutes 2 seconds
5 years ago
KABLA HUJAANZISHA MAHUSIANO NA MTU AU KIJANA MWENZAKO, ANGALIA KWANZA MAHUSIANO YAKE NA MUNGU
Ni vizuri sana kijana wa kike au wakiume anayemuamini Kristo, kuangalia sana mahusiano ya kijana na Mungu (yani kijana anayetaka kuingia naye kwenye mahusiano ya kiurafiki au kwa lugha nyepesi ya vijana ya kimapenzi, yanayoweza kupelekea ndoa). Mara nyingi vijana hupuuzia sana hili ila yapo mambo mengi sana yanaweza yasiende sawa kama jambo hili halijaangaliwa vyema, mambo hayo tutayajadili kwenye meza kwa kiwango tutachojaliwa. Je unayetaka kutekwa naye kwenye pendo ana mahusiano gani na Mungu?? KARIBU  
Mrs Loureen J
Uwanja wakuzungumza mambo mbalimbali ya kuijenga jamii. Tutazungumza kwa uwazi na kwa kulenga kujenga zaidi nyanja mbalimbali za jamii kama vile; Mahusiano binafsi, urafiki, uchumba na ndoa, maadili ya jamii na fursa mbalimbali (Msingi ukiwa ni NENO la Mungu). Tutakuwa updated na mambo mengi yanayoendelea kwenye maisha kwa ujumla huku msingi mzuri ukiwa ni NENO. By ; Loureen Christian Production (LCP)