Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
History
TV & Film
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts116/v4/2d/a3/00/2da3003c-f421-10e5-af7a-7f726b568845/mza_2627359760741856166.jpg/600x600bb.jpg
Mrs Loureen J
Loureen Juma
6 episodes
1 day ago
Uwanja wakuzungumza mambo mbalimbali ya kuijenga jamii. Tutazungumza kwa uwazi na kwa kulenga kujenga zaidi nyanja mbalimbali za jamii kama vile; Mahusiano binafsi, urafiki, uchumba na ndoa, maadili ya jamii na fursa mbalimbali (Msingi ukiwa ni NENO la Mungu). Tutakuwa updated na mambo mengi yanayoendelea kwenye maisha kwa ujumla huku msingi mzuri ukiwa ni NENO. By ; Loureen Christian Production (LCP)
Show more...
Christianity
Religion & Spirituality
RSS
All content for Mrs Loureen J is the property of Loureen Juma and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Uwanja wakuzungumza mambo mbalimbali ya kuijenga jamii. Tutazungumza kwa uwazi na kwa kulenga kujenga zaidi nyanja mbalimbali za jamii kama vile; Mahusiano binafsi, urafiki, uchumba na ndoa, maadili ya jamii na fursa mbalimbali (Msingi ukiwa ni NENO la Mungu). Tutakuwa updated na mambo mengi yanayoendelea kwenye maisha kwa ujumla huku msingi mzuri ukiwa ni NENO. By ; Loureen Christian Production (LCP)
Show more...
Christianity
Religion & Spirituality
Episodes (6/6)
Mrs Loureen J
MIPAKA KWENYE MAHUSIANO 3.
Linda mipaka yako, kuwa wazi mpaka wapi watu wanaweza kuingia kwenye maisha yako, ukiona mtu anavuka mstari mwambie kabisa kwamba hapa hapana! Usijiongeze kuingia sana kwenye maisha ya mtu hakuna mwanadamu anahitaji mtu wakumfuata fuata nyuma au kudhani anayajua maisha yake kuliko yeye mwenyewe. Jali mipaka yako linda mahusiano yako. Kuhusiana vyema ni afya.
Show more...
2 years ago
15 minutes 35 seconds

Mrs Loureen J
MIPAKA KWENYE MAHUSIANO 2.
Linda mipaka yako, kuwa wazi mpaka wapi watu wanaweza kuingia kwenye maisha yako, ukiona mtu anavuka mstari mwambie kabisa kwamba hapa hapana! Usijiongeze kuingia sana kwenye maisha ya mtu hakuna mwanadamu anahitaji mtu wakumfuata fuata nyuma au kudhani anayajua maisha yake kuliko yeye mwenyewe. Jali mipaka yako linda mahusiano yako. Kuhusiana vyema ni afya.
Show more...
2 years ago
16 minutes 22 seconds

Mrs Loureen J
KABLA HUJAANZISHA MAHUSIANO NA MTU AU KIJANA MWENZAKO, ANGALIA KWANZA MAHUSIANO YAKE NA MUNGU
Ni vizuri sana kijana wa kike au wakiume anayemuamini Kristo, kuangalia sana mahusiano ya kijana na Mungu (yani kijana anayetaka kuingia naye kwenye mahusiano ya kiurafiki au kwa lugha nyepesi ya vijana ya kimapenzi, yanayoweza kupelekea ndoa). Mara nyingi vijana hupuuzia sana hili ila yapo mambo mengi sana yanaweza yasiende sawa kama jambo hili halijaangaliwa vyema, mambo hayo tutayajadili kwenye meza kwa kiwango tutachojaliwa. Je unayetaka kutekwa naye kwenye pendo ana mahusiano gani na Mungu?? KARIBU  
Show more...
5 years ago
37 minutes 2 seconds

Mrs Loureen J
KABLA HUJAANZISHA MAHUSIANO NA MTU AU KIJANA MWENZAKO, ANGALIA KWANZA MAHUSIANO YAKE NA MUNGU
Ni vizuri sana kijana wa kike au wakiume anayemuamini Kristo, kuangalia sana mahusiano ya kijana na Mungu (yani kijana anayetaka kuingia naye kwenye mahusiano ya kiurafiki au kwa lugha nyepesi ya vijana ya kimapenzi, yanayoweza kupelekea ndoa). Mara nyingi vijana hupuuzia sana hili ila yapo mambo mengi sana yanaweza yasiende sawa kama jambo hili halijaangaliwa vyema, mambo hayo tutayajadili kwenye meza kwa kiwango tutachojaliwa. Je unayetaka kutekwa naye kwenye pendo ana mahusiano gani na Mungu?? KARIBU
Show more...
5 years ago
27 minutes 45 seconds

Mrs Loureen J
VIPAUMBELE VYAKO VINAELEZA NINI KUKUHUSU!
Mtu mmoja aliwahi kusema hatma sio kitu unachokiendea bali ni kitu unachokitengeneza unahitaji kuweka vipaumbele vyako sawa(set your priorities right) vipaumbele vyako vitahakisi kwa ufasaha kabisa hatma unayoiendea.
Show more...
5 years ago
38 minutes 18 seconds

Mrs Loureen J
Utangulizi: Vijana Tuzungumze/ Introduction: Youth Lets talk
Utangulizi wa kipindi maalumu kwa ajili ya vijana. Ukiwa na Mtangazaji wako au mwalimu wako Mrs Loureen Jaspin. Jiandae kujifunza mambo mbalimbali.
Show more...
5 years ago
3 minutes 3 seconds

Mrs Loureen J
Uwanja wakuzungumza mambo mbalimbali ya kuijenga jamii. Tutazungumza kwa uwazi na kwa kulenga kujenga zaidi nyanja mbalimbali za jamii kama vile; Mahusiano binafsi, urafiki, uchumba na ndoa, maadili ya jamii na fursa mbalimbali (Msingi ukiwa ni NENO la Mungu). Tutakuwa updated na mambo mengi yanayoendelea kwenye maisha kwa ujumla huku msingi mzuri ukiwa ni NENO. By ; Loureen Christian Production (LCP)