
Kama unahisi uko peke yako na hakuna anayekuelewa katika hii safari ya malezi, Usijali niko/tuko hapa kukuaminisha Kwamba hauko peke yako.
Tuko apa kukwambia kwamba hii safari wote we can relate.
Tunawapenda watoto wetu sana sana, lakini pia kuna muda tunatamani kuelezea maumivu, uchovu, ugumu, confusion kama wazazi, na tueleweke bila kuonekana kwamba tunachukia wanetu, tunakufuru Mungu etc.