Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
History
Music
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts122/v4/94/24/4c/94244c26-3c27-edd3-2e5e-012b22a7bb93/mza_1137301887147468075.jpg/600x600bb.jpg
Jukwaa la Michezo
RFI Kiswahili
24 episodes
1 day ago

Makala haya yanaangazia maendeleo ya michezo mbalimbali Ulimwenguni na pia huwa haiwaweki kando wanamichezo waliobobea na vilevile kufanya uchanganuzi wa kina wa michezo wakati wa mashindano mbalimbali.

Show more...
Sports
RSS
All content for Jukwaa la Michezo is the property of RFI Kiswahili and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.

Makala haya yanaangazia maendeleo ya michezo mbalimbali Ulimwenguni na pia huwa haiwaweki kando wanamichezo waliobobea na vilevile kufanya uchanganuzi wa kina wa michezo wakati wa mashindano mbalimbali.

Show more...
Sports
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts122/v4/94/24/4c/94244c26-3c27-edd3-2e5e-012b22a7bb93/mza_1137301887147468075.jpg/600x600bb.jpg
CHAN 2024: Nani atashinda kati ya Morocco na Madagascar ?
Jukwaa la Michezo
20 minutes 58 seconds
2 months ago
CHAN 2024: Nani atashinda kati ya Morocco na Madagascar ?
Morocco na Madagascar zinachuana katika fainali ya mchezo wa CHAN 2024. Hii ni michuano inayowashirikisha wachezaji wanaoshiriki ligi za ndani. Fainali hii inachezwa kwenye uwanja wa Kimataifa wa Kasarani, Agosti 30 2025. Wanamichezo wetu Jason Sagini na Paul Nzioki, wanachambua kutoka uwanjani.
Jukwaa la Michezo

Makala haya yanaangazia maendeleo ya michezo mbalimbali Ulimwenguni na pia huwa haiwaweki kando wanamichezo waliobobea na vilevile kufanya uchanganuzi wa kina wa michezo wakati wa mashindano mbalimbali.