Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
Technology
History
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
Podjoint Logo
US
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts211/v4/8c/cd/c3/8ccdc38e-163e-288e-e987-fdda368c9c7f/mza_9142019026458763885.jpg/600x600bb.jpg
Habari RFI-Ki
RFI Kiswahili
24 episodes
16 hours ago

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

Show more...
News
RSS
All content for Habari RFI-Ki is the property of RFI Kiswahili and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

Show more...
News
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts211/v4/8c/cd/c3/8ccdc38e-163e-288e-e987-fdda368c9c7f/mza_9142019026458763885.jpg/600x600bb.jpg
Mateka wa Israeli waliokuwa wanashikiliwa na Hamas waachiwa huru huko Gaza
Habari RFI-Ki
10 minutes 4 seconds
3 weeks ago
Mateka wa Israeli waliokuwa wanashikiliwa na Hamas waachiwa huru huko Gaza
Hivi leo viongozi wa dunia akiwemo rais wa Marekani, Donald Trump, wanakutana Misri kujadili mustakabali wa eneo la Gaza, baada ya makubaliano ya kihistoria ya wiki iliyopita. Makubaliano haya yameshuhudia kuachiwa kwa mateka, wafungwa na kusitishwa kwa vita vya Gaza. Tunakuuliza, unaamini makubaliano kati ya Hamas na Israel safari hii yatadumu?Nini cha zaidi kifanyike?Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka
Habari RFI-Ki

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.